Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

mwongo ww.msafara ulikuwa wa kawaida na pikipiki za kawaida kwani kila mwendesha pikipiki alilipwa 8,000.slaa aliingia mjini mida ya saa 8 na ushee hivi akaelekea savoy .mie nipo hapa kwenye viwanja vya k/ndege panapofanyika mkutano.kila mtu hapa mjini anaendelea na shughuli zake kama kawaida.utadhani hakuna mkutano.tunamshukuru mungu kuwa chadema wameshika adabu.ila matusi hapa mkutanoni kama kawaida.vibaka wamejaa usiseme.wenyewe (vibaka)wanasubiri litokee jambo wafanye kazi yao.ila sasa ni saa 12 na dakika 5 inaelekea wamepiga chini.babu hana jipya.yaleyale.:embarassed2::embarassed2:

Dogo unapokuwa na inda na hasira tafadhari usiposti kitu chochote kwa maana naona unajichanganya sana , hebu ona unasema ulikuwa kiwanja cha ndege tangu saa nane na wakati huo unasema kila mtu anaendelea na shughulizake WEWE HUNA SHUGHULI ? umeonaje hayo wakati ukiwa k/cha ndege AMBAKO NI PEMBENI PA MJI. Pia je hizo sh elfu nane ulizionaje au wewe ndo ulikuwa mfadhiri? au unachukulia dau la CCM ndo la kila chama ? Dogo nenda taratibu utakufa na presha kama mwenzio alivyokufa leo muda si mrefu.
 
Dogo unapokuwa na inda na hasira tafadhari usiposti kitu chochote kwa maana naona unajichanganya sana , hebu ona unasema ulikuwa kiwanja cha ndege tangu saa nane na wakati huo unasema kila mtu anaendelea na shughulizake WEWE HUNA SHUGHULI ? umeonaje hayo wakati ukiwa k/cha ndege AMBAKO NI PEMBENI PA MJI. Pia je hizo sh elfu nane ulizionaje au wewe ndo ulikuwa mfadhiri? au unachukulia dau la CCM ndo la kila chama ? Dogo nenda taratibu utakufa na presha kama mwenzio alivyokufa leo muda si mrefu.

tusonge mbele waache wafu wabishe hawana madhara..viva chadema
 
Dr. Slaa ndio tumain letu.....waacheni majangili watume vijana wasio kuwa wazalendo wamchafuwe Slaa, mbinu zao dhaifu kamwe hazita wasaidia kitu mwani maisha halisi wanayo ishi watanzania yana waumbuwa
 
Wanamorogoro msikilizeni kiongozi wa walisha watu sumu kisha akili ya kuambiwa changanya na yako
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali Tanzania iwe na Rais aliyechoka namna hii,

View attachment 95924

Mbona hao vijana ndio wameifikisha Tanganyika hapa tulipo!!!??? Kila kukicha kiguu na njia kutembeza UMATONYA ili hali rasilimali/ fursa kibao zimetuzunguka.

Yaani kati ya waTanzania Milioni 45 tumeshindwa kuandaa walimu hadi tunaomba kutoka kwa wavuta bangi Jamaica?

Huyo ndiye Raisi kijana unaye jidai naye!!!??? Yaani haeleweki anaifanyia nini Tanganyika.

Ukishaona Raisi anaye jialika mwenyewe, ujue hiyo nchi imesha jizika.
 
Eti Babu awe Rais labda wa wapenda vibinti.Mtu mzima utazaaje bila ndoa kama sio uzinzi ni nini

Ingekuwa busara kama ungenyamza. Hivi kumbe hata maana ya ndoa huijui na matokeo yake unatuletea PUMBA hapa?!!
 
Chama cha domo la ghasia,kusaga na kukoboa (Blender)
 
Dr w ukweli kwa kuapika pambaja wanaume wenzako tunaomba udhamini uhai wa wananchi wa morogoro usijewatoa uhai kama kawaida yenu wazee wa kafara.
roho inauma eeh???
walalhoi wenzetu wamekuja wenyeweeee bila ahadi za posho, wala kusombwa na mabasi ya aboud!!
tusameheni jamani kama tunawakarahisha hivyo, ila tutawasaidiaje sasa wakati sisiem inaugua kifaduro??????????
 
Big up KAMANDA umenifurahisha kwa picha nzuri sana nadhani hapa MAGAMBA yanakuonea donge angalia tu Kamera yako wasikuibie hao MAGAMBA.

Mungu akubariki sana hakikisheni mnapost picha na summary ya sera zinazomwagwa na hao WAKOMBOZI.

Tuko PAMOJA
 
Huyu kachoka JK dhaifu everywhere


Huyu ni afadhali kuliko yule alikuwa anaanguka ovyo kwenye majukwaa,naona alikuwa na kifafa cha Ikulu. Halafu watu ndio walidangabywa eti kijana ana sura nzuri. Kumbe uzuri wa Carolite tu hata nguvu hana akawa kwenye majukwaa mpaja mtu amkalie kwa nyuma.
 
Eti Babu awe Rais labda wa wapenda vibinti.Mtu mzima utazaaje bila ndoa kama sio uzinzi ni nini

we huna akili ndo maana hata maneno yako hueleweki, mara babu, mara mtu mzima, which is which? huna hakika na unachokisema. Kwa hiyo wewe baba bako akiwa mzee atakuachia mji wake au?

Note: Leadership is all about vision. If no vision, no leadership. ndo maana mna viongozi wasio na vision. That's why we are here today mnakalia kulamba watu wawape buku ten bila kufikiria. Unakera sana
 
Back
Top Bottom