Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Swali kwa kina Ritz,Sumu,Rejao,na wengine wote washirika wa ufisadi na ujangili wa Tembo aka dentist.wakati katibu wenu mkuu mtaalamu bingwa wa meno ya Tembo ndugu Kinana alipokwenda Morogoro akiwa na Vuvuzela Nape walialika akina Diamond,lina na wengineo je leo hapo Morogoro mkutano wa Dr wa ukweli mmeona mwanamziki gani alieitwa kuvuta watu ili CDM ionekane imjeza watu kusikiliza mkutano?Maccm yalibeba watu kwa maroli na kualika open show ya kina diamond ndipo mkapata watu wa kuwasikiliza.
Acheni Mungu aitwe Mungu.
 
Dr. Slaa ni Jembe ambalo watanzania hasa vijana tunatakiwa kulitumia...sio wengine wanao ishi airpot
 
Watukane, wasifu mwendo ni ule ule kitongoji kwa kitongoji hadi wasio na masikio wasikie!
 
Eti Babu awe Rais labda wa wapenda vibinti.Mtu mzima utazaaje bila ndoa kama sio uzinzi ni nini

Kama ni Mkristo hebu nenda kanisani kamuulize Mwendesha ibada nini maana ya kubariki ndoa? na je zipo au hazipo? je ni kosa kubariki hizo ndoa? na je watoto waliopatikana huwa wanakubaliwa katika ndoa hiyo au la?
Ukishapata jibu ya hilo, Pia uje na majibu ya Fastjet juu ya mambo hayo ya vibinti
 
Eti Babu awe Rais labda wa wapenda vibinti.Mtu mzima utazaaje bila ndoa kama sio uzinzi ni nini

watanzania hutuhitaji rais handsome tunataka rais mwenye mawazo mbadala na hekima za kuongoza: about hizo hisia zako watu hatutaki kuelewa. Ingekuwa sura bas kikuwete aangekuwa rais mwenye mafanikio kuliko waliomtangulia but sio! Kumbe urais sio sura
 
thanks in advance mpanda jr for your excellent work CCM SHOULD GO TO HELL.
 
babu slaa kisukari kinamsumbua.mtafutieni dawa za kienyeji zimsaidie.si mnajua wenye kisukari wanaishia kupiga picha na kinamama tu.

huko ndiyo kuishiwa ugonjwa wa dr. Slaa hunausika vipi hapa?hivi magonjwa ya mwenyekiti wako yamepona?jiangalie ingali bado unaishi usimcheke dr.slaa coz hata yawezekana una kisukari japo ujijui
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali Tanzania iwe na Rais aliyechoka namna hii,
Wazo hili linatoka kwa mtoto wa kiume au wa kike?Taifa hili linahtaj watetezi na viongozi wanaojali maslah ya watanzania regardless ya physical conditions zao au umri, hao wasiochoka wamekusaidiaje ww mtanzania???Sitashangaa kuskia kuwa wewe ulimchagua JK kwa vile ni handsome! Uhandsome wa JK wewe mtoto wa kiume umekusaidia nini?? au ww ni mliberali???
 
Wenye vibinti vyao wavichunge kwasababu babu ndiyo ugonjwa wake huo.
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people". Eleanor Roosevelt. Je wewe kwa hoja hii unadhani umeangukia kundi gani hapo????Tafakari, chukua hatua.

cc. RedArmy, Mandieta, Wingu
 
Dr. Slaa is better than most of Magambazi leaders. Uwezo wa fastjet na Dr ni kichuguu na mlima Kilimanjaro.... wachumia tumbo wa magamba go to hell....
 
CHAMA cha DOMOKRASIA NA MATUSI KINATUPELEKA PABAYA.BABU SLAA KWELI AMEZEEKA KIAKILI.ANATUHUMU KUWA TAIFA LIMEPOTEZA MWELEKEO KUTOKANA NA VIONGOZI WAKE KUJIHUSISHA NA BIASHARA.AMA KWELI NYANI HAONI K*******.AMESAHAU KUWA MWENYEKITI WAKE BILIONEA.ANAMILIKI BILICANAS,MAHOTELI KIBAO YA KITALII DAR NA MOSHI,VYOMBO VYA HABARI NK.:heh:
 
Kuna mahali imeandikwa asiye na dhambi na awe wakwanza tumtupia jiwe.Tunaishi kwa neema za Mungu tu,usimnyoshe mwenzako kidole.
 
Du hili Nyomi la leo.
Hivi Shirogile still ni RPC Morogoro ama kachukia kutokupandishwa Cheo kama mwenzake Kamuhanda so nae kamuua kumwaga ugali....
 
Back
Top Bottom