Dr anamalizia wakuu hv
ni kweli uko hapa moro mkutanoni???mwongo ww.msafara ulikuwa wa kawaida na pikipiki za kawaida kwani kila mwendesha pikipiki alilipwa 8,000.slaa aliingia mjini mida ya saa 8 na ushee hivi akaelekea savoy .mie nipo hapa kwenye viwanja vya k/ndege panapofanyika mkutano.kila mtu hapa mjini anaendelea na shughuli zake kama kawaida.utadhani hakuna mkutano.tunamshukuru mungu kuwa chadema wameshika adabu.ila matusi hapa mkutanoni kama kawaida.vibaka wamejaa usiseme.wenyewe (vibaka)wanasubiri litokee jambo wafanye kazi yao.ila sasa ni saa 12 na dakika 5 inaelekea wamepiga chini.babu hana jipya.yaleyale.:embarassed2::embarassed2:
taarifa za uwongo mtupu.hakuna barabara zilizofungwa morogoro,shughuli ziliendelea kama kawaida,ila vibaka walisambaa mji mzima wakitegemea mafirauni wa chadema kuanzisha fujo. kwa bahati,leo viroba viliadimika mji mzima,ndio maana akina nanihii na wengine hawakusikika.babu kaisha kabisa.mpelekeni hospitali apate matibabu.hana jipya.ukubwa wa pua siyo wingi wa mafua.
Bora mtu akafanya ulebali kuliko wizi wa mke wa mtu huku ukijifanya padri. Kumpiga pambaja mwanaume mwenzako haikubaliki.
Usiku wa leo aenda lala wapi dr? Anavyopenda huyu babu ni vyema kuwa makini kila mwenye mke/mchumba wake.
mwongo ww.msafara ulikuwa wa kawaida na pikipiki za kawaida kwani kila mwendesha pikipiki alilipwa 8,000.slaa aliingia mjini mida ya saa 8 na ushee hivi akaelekea savoy .mie nipo hapa kwenye viwanja vya k/ndege panapofanyika mkutano.kila mtu hapa mjini anaendelea na shughuli zake kama kawaida.utadhani hakuna mkutano.tunamshukuru mungu kuwa chadema wameshika adabu.ila matusi hapa mkutanoni kama kawaida.vibaka wamejaa usiseme.wenyewe (vibaka)wanasubiri litokee jambo wafanye kazi yao.ila sasa ni saa 12 na dakika 5 inaelekea wamepiga chini.babu hana jipya.yaleyale.:embarassed2::embarassed2:
Huyo ndie raisi HALALI WA jamuhuri ya muungano wa Tanzania(reference kamuulize Lipumba).Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali Tanzania iwe na Rais aliyechoka namna hii,
View attachment 95924
tehhhhhhhhhhh...hahahhhh, mkuu ngoja niagize kinana baridiiiiiiiiiiiiiiiii, freedom is coming now
ccm wakiona hii wanahemuka
baada ya kukamilika kwa mahafali ya chaso ambapo rai.s dr. Slaa alitunuku nishani na vyeti kwa wahitimu 183 wa wanachama wa chadema, kwa takribani saa moja sasa barabara za mitaa ya manispaa ya morogoro zimefungwa kupisha msafara wa magari na maandamano ya kuelekea vilipo viwanja vya mkutano.
Viwanja vya sabasaba vimejaa tangu saa saba. Nitaleta picha.
--------------------
...... kenye open-minded (uliberali) atakuwa kwenye kundi tata...(wanawake na maendeleo)
taarifa za uwongo mtupu.hakuna barabara zilizofungwa morogoro,shughuli ziliendelea kama kawaida,ila vibaka walisambaa mji mzima wakitegemea mafirauni wa chadema kuanzisha fujo. kwa bahati,leo viroba viliadimika mji mzima,ndio maana akina nanihii na wengine hawakusikika.babu kaisha kabisa.mpelekeni hospitali apate matibabu.hana jipya.ukubwa wa pua siyo wingi wa mafua.