Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

mwongo ww.msafara ulikuwa wa kawaida na pikipiki za kawaida kwani kila mwendesha pikipiki alilipwa 8,000.slaa aliingia mjini mida ya saa 8 na ushee hivi akaelekea savoy .mie nipo hapa kwenye viwanja vya k/ndege panapofanyika mkutano.kila mtu hapa mjini anaendelea na shughuli zake kama kawaida.utadhani hakuna mkutano.tunamshukuru mungu kuwa chadema wameshika adabu.ila matusi hapa mkutanoni kama kawaida.vibaka wamejaa usiseme.wenyewe (vibaka)wanasubiri litokee jambo wafanye kazi yao.ila sasa ni saa 12 na dakika 5 inaelekea wamepiga chini.babu hana jipya.yaleyale.:embarassed2::embarassed2:
ni kweli uko hapa moro mkutanoni???
nilidhani ni ubongo wako tu ulioganda kumbe mpaka macho nayo yameganda!!!
pole san..
 
taarifa za uwongo mtupu.hakuna barabara zilizofungwa morogoro,shughuli ziliendelea kama kawaida,ila vibaka walisambaa mji mzima wakitegemea mafirauni wa chadema kuanzisha fujo. kwa bahati,leo viroba viliadimika mji mzima,ndio maana akina nanihii na wengine hawakusikika.babu kaisha kabisa.mpelekeni hospitali apate matibabu.hana jipya.ukubwa wa pua siyo wingi wa mafua.
 
ni mkutano wa kihistoria kwetu sisi hapa moro!
i was there..
magamba wote get this>>>>this is just a beggining najua yana gonga chupi sasa hivi!!
 
picha hizo zimetengenezwa kiufundi kabisa.angalia upande wa kulia hakuna wananchi,kushoto kwa picha vivyo hivyo.mahudhurio ya wananchi yalikuwa ya kawaida kabisa.umati ule tuliouzoea wakati wa enzi za slaa haupo tena.masikini babu.chadema ndio bye bye.chadema wanaugua kifafa.poleni sana.:faint:
 
taarifa za uwongo mtupu.hakuna barabara zilizofungwa morogoro,shughuli ziliendelea kama kawaida,ila vibaka walisambaa mji mzima wakitegemea mafirauni wa chadema kuanzisha fujo. kwa bahati,leo viroba viliadimika mji mzima,ndio maana akina nanihii na wengine hawakusikika.babu kaisha kabisa.mpelekeni hospitali apate matibabu.hana jipya.ukubwa wa pua siyo wingi wa mafua.

Kwa uandishi wako ulivyo, kama ulimaliza la saba basi ujue we mwenyewe ni tatizo. Maana unaandika kama bata.
 
Tunapokaribia 2015, cdm waje na mkakati thabiti wa kuwafikia wanawake tnz nzima. Hilo lifabyike pasipokukawia.
 
mwongo ww.msafara ulikuwa wa kawaida na pikipiki za kawaida kwani kila mwendesha pikipiki alilipwa 8,000.slaa aliingia mjini mida ya saa 8 na ushee hivi akaelekea savoy .mie nipo hapa kwenye viwanja vya k/ndege panapofanyika mkutano.kila mtu hapa mjini anaendelea na shughuli zake kama kawaida.utadhani hakuna mkutano.tunamshukuru mungu kuwa chadema wameshika adabu.ila matusi hapa mkutanoni kama kawaida.vibaka wamejaa usiseme.wenyewe (vibaka)wanasubiri litokee jambo wafanye kazi yao.ila sasa ni saa 12 na dakika 5 inaelekea wamepiga chini.babu hana jipya.yaleyale.:embarassed2::embarassed2:

Sasa chief unaonaje ukiweka picha za huo mkutano unaousemea maana nahisi we ulienda wa tofauti na wenzako,nina mashaka kama unajua kusoma kweli hebu soma hapa kwa sauti kubwa; CHADEMA.
 
Mnajitahidi,lakini mtaji Wa CCM 2015 bado mkubwa sana,jaribuni tena baadae.
 
baada ya kukamilika kwa mahafali ya chaso ambapo rai.s dr. Slaa alitunuku nishani na vyeti kwa wahitimu 183 wa wanachama wa chadema, kwa takribani saa moja sasa barabara za mitaa ya manispaa ya morogoro zimefungwa kupisha msafara wa magari na maandamano ya kuelekea vilipo viwanja vya mkutano.

Viwanja vya sabasaba vimejaa tangu saa saba. Nitaleta picha.

--------------------

sita anavyopenda madaraka, akiona wingi huu wa watu tu ni lazima atatangaza kuhamia cdm ili agombee uraisi 2015!
 
taarifa za uwongo mtupu.hakuna barabara zilizofungwa morogoro,shughuli ziliendelea kama kawaida,ila vibaka walisambaa mji mzima wakitegemea mafirauni wa chadema kuanzisha fujo. kwa bahati,leo viroba viliadimika mji mzima,ndio maana akina nanihii na wengine hawakusikika.babu kaisha kabisa.mpelekeni hospitali apate matibabu.hana jipya.ukubwa wa pua siyo wingi wa mafua.

wewe nawe.kwa mipashoo...haya tumesikia, kingine?
 
Back
Top Bottom