Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Poleni sana, hapa kwa mikakati yenu mliua mtu, tutawaletea picha za watu watakaofika kwenye mazishi ya Cowobama.
haaa kwa kweli sina mbavu, naona povu linakutoka! Huwezi kuukwepa ukweli mkuu!
 
Naaaaam
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370094342247.jpg
    uploadfromtaptalk1370094342247.jpg
    119.5 KB · Views: 115
  • uploadfromtaptalk1370094413754.jpg
    uploadfromtaptalk1370094413754.jpg
    121.6 KB · Views: 112
Diamond yupo?

Crashwise

Tehe tehe tehe. Najua unamaanisha nini.

Si mahali pake. Mikutano ya CHADEMA wakija ni wale wakali wa kughani nyimbo za maisha, haki za watu...wapiganaji.

Watu wanakuja kwa kutangaziwa...muda si mrefu wanaCHADEMA watakuwa wanakusanyika kwa kutangaziana kwenye nyumba kumi kumi na mabalozi wao.
 
Waliberali mpo? Watu wa HAKI SAWA KWA .................
Utasikia wakisema sawa sawa, hakisawa kwa wote mara ya kwanza sikuja kumbe hata kubeba mimba wanaume wabebe hiki chama hakifai kabisa ndiyo maana wameolewa....
 

Laurence kwa huo umati... nadhani hautotosha mpaka sa 12 jioni Maana hata sa 11 jioni bado .. watu watakuwa hawana hata pa kuweka mguu.. nadhani wakati umefika tufanye modality next time mikutano ya makamanda ifanyikie Uwanja wa Jamhuri... hapo k/ndege sabasaba ni padogo sana kwa CDM.....

LUMUMBA MPOOOOOOO??? POLENI SANA MTATUPWA SOON BAADA YA MATUMIZI KWISHA.....
 
utasikia wakisema sawa sawa, hakisawa kwa wote mara ya kwanza sikuja kumbe hata kubeba mimba wanaume wabebe hiki chama hakifai kabisa ndiyo maana wameolewa....

tehhhhhhhhhhh...hahahhhh, mkuu ngoja niagize kinana baridiiiiiiiiiiiiiiiii, freedom is coming now
 
Hakuna cha Diamond wala Chege hapa ni Dr Slaa tuu mwenyewe anafanya watu wajae,kwa kweli Dr Slaa ni Rais alieko mioyoni ya waTz
 
Ata mimi nipo hapa tunafanya mambo.
viva CHADEMA.
Ila mimi leo nimepewa kazi maalumu na babu hapa moro ili mh ateme sumu vizuri bila kua na mawazo yoyote!
kamati ya ufundi? sasa mbona unaweka hadharani
 
Wananchi wanacheka hapa kua muda Mh Rais Kikwete yupo Japani ameenda kuzindua Pre School(Chekechea) yupo huko toka tarehe 28 na atarudi tarehe ratiba yote anayo Dr Slaa
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370095132582.jpg
    uploadfromtaptalk1370095132582.jpg
    62.6 KB · Views: 93
Mkuu Eistein nimekusoma kwa sana, ingawa hizo picha zimenikumbusha maboreko niliyopata siku ile! Wacha tuchape kazi hadi kieleweke.
 
Wenye vibinti vyao wavichunge kwasababu babu ndiyo ugonjwa wake huo.

Nadhani utakuwa umejichanganya najua lengo lako useme mkuu wa kaya ndo ugonjwa wake mpaka wasaidizi wake wanawachunga wake za watu ili wasipewe kazi na mkuu
 
Wananchi wanacheka hapa kua muda Mh Rais Kikwete yupo Japani ameenda kuzindua Pre School(Chekechea) yupo huko toka tarehe 28 na atarudi tarehe ratiba yote anayo Dr Slaa


duuuh hii kali tukiipata hiyo ratiba iletwe hapa
 
Dr Slaa anasema Serikali imerisiti kimya kimya kwani tulizoea kuona wanafunzi wakirisiti,kwa maana hyo serikali ya CCM inataka kuandaa wataalamu Mbumbumbu
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370095355438.jpg
    uploadfromtaptalk1370095355438.jpg
    90.8 KB · Views: 130
  • uploadfromtaptalk1370095395701.jpg
    uploadfromtaptalk1370095395701.jpg
    134.6 KB · Views: 125
Back
Top Bottom