Eistein
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,107
- 482
Heche ndo anamaliza hotuba yake, sasa anatamka kumkaribisha Dr. Slaa
pamoja sana Hanipha.. ukiweza kutupia makontent ya maspichi siyo mbaya.. huku Laurence na Mpanda Jr wakitupia mapicha inakuwa pouwaaaaaaaaaaaaaaaaa... WALIBERALI WANAPISHANA TOILET SASA HIVI....