Mkuu haikutolewa amri kwamba waanzie kanda ya kaskazini,hii inatokana na usharp wa mratibu wa muda wa kanada ya kaskazini mabe pia ni katibu wa mkoa wa Arusha,Time frame ni moja isipokuwa kila watu wajipangie waanze lini lakini miezi ni hii hii utasikia kimelia kila kanda.ila nakuunga mkono juu ya elimu kuhusu sera ya majimbo kwamba kuna haja ya kuungana wote kama wanachama,viongozi,na individuals kutoa elimu kwa mapana yake juu ya sera ya majimbo.Ila kwa hili la majimbo yatupasa tuwe makini sana wakati wa kulipeleka kwa wananchi!!kwani yaonekana dhahiri kuwa watanzania wengi bado hawajawa na elimu(ufahamu) wa kutosha kuhusiana na issue hii ya majimbo,hivyo yaweza tumika kinyume na mahasimu wetu CCM kuonyesha kuwa CDHADEMA ni chama chenye lengo la kuigawa nchi,na kama member mmoja alivyowahi ku comment hapa ni vyema zaidi kama harakati hizi zingeanzia upande mwingine kabisa tofauti na kaskazini,ili kuondoa dhana iliyopandikizwa kuwa cdm ni chama cha kaskazini.
Mnaigawa nchi vipande vipande.
Achana huyo inz kwani hana uzito stahiki ktk gari letu.