Mnaigawa nchi vipande vipande.
Huo ni mgawanyiko wa kichama!Mnaigawa nchi vipande vipande.
siku zote huwa tunaanza na mungu!mkutano unafunguliwa kwa sala..
Safi sana mkuu!Mwigamba:
Tumedhamiria kuanzisha sera za majimbo ili kuweza ku-decentralize majukumu kwa maslahi ya watanzania, ni mfumo unaopunguza majukumu kutoka makao makuu
Mnaigawa nchi vipande vipande.
Jaribu kufanya mkutano wenu kiungwana siyo tena muanze kutoa namba za simu za Spika na Naibu wake.
Sheria itakuchukuwa mkondo wake.
Mamalaka ya mawasiliano kushirikiana na jeshi la Polisi wamejipanga.
mkuu usijari muda si mrefu tutaanza kurusha tuko kamili..Mungi, Liverpoolfc na makamanda wengine..
Jaribu kufanya mkutano wenu kiungwana siyo tena muanze kutoa namba za simu za Spika na Naibu wake.
Sheria itakuchukuwa mkondo wake.
Mamalaka ya mawasiliano kushirikiana na jeshi la Polisi wamejipanga.