LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Viongozi wao wamekaa muda mrefu madarakani lakini watu wakitaka kuwaondoa kwa demokrasia wao wanasema ni ccm

wananchi morogoro wanauliza viwanda vyao vimeeenda wapi ...aaaache kuzungumzia chadema wanataka maji safi na ajira viwanda wamepewa wahindi wamefanya magodown ya .......wakulima na wafugaji kila siku wanauwawa na police mbona hazungumziii hilo ......ajali kila siku moro mbona hasemi atatatuwa vipi .......masikini wananchi moro bado wana kumbuka ndugu zao walibanwa na lori masaaa 16 mpaka kufa wakiaaangalia tuuuuuu ....kodi zetu mna kula badala ya kununua vifaaa vya uuuuokoaji....mnapeleka uswis

 
Kiongozi wa upinzani hasomi na hafanyi utafiti wala hasomi

Nimefuatilia siasa za Nape na Kinana.
Nimegundua kuwa Tukimuweka KAMANDA MMOJA TU WA CDM Mf:MNYIKA CCM hata wakienda wote pamoja na mr.Dagama hawafui dafu.
WANASIASA ZA KITOTO WANANIKUMBUSHA KIDARIMPO MIAKA YA 60.
 
Watu hawaendi kwenye mkutano kumwona diamond au ze comedy wanaenda kusikiliza sera, kwenye tv hawa tunawaona daily

sema unawaona daily ww haraf tofautisha kati ya kideon na live uwanjan toka diomond apate umaarufu watu ha2ja wahi kumwona
 
meya wa manispaa ya MOROGORO leo hii akiongea katika mkutano wa CCM,amesema CHADEMA wanatabia za bata za kuharisha hovyo hovyo! Mazuri yote yanayofanywa wao hawayaoni kazi kulalamika kila kukicha

Ama kweli, Nimeamini CHADEMA ni chama tishio kwa CCM. Kila kiongozi anaesimama lazima aitaje Chadema kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Kinana hotuba yake yote ni Chadema tu. Kwa sisi wajasiriamali tunaamini kuwa kadiri kitu kinavyotajwa midomoni mwa watu, ndivyo kinavyozidi kukaa vichwani mwao. Kwa maana hiyo CCM ni kama wanakipa umaarufu Chadema hata kwa wasiokijua wanajua kumbe kuna chama kingine kinatisha sana. Kwasasa CCM mikutano yao yote hawawezi kufanya bila kuitaja CHADEMA.
 
Kinana anaendelea na hotuba na anasema amefatilia na kufanikiwa kutatua tatizo la wakulima wa miwa kilombero
Kuhusu tembo hajaongelea? kuhusu maisha magumu ya watz kama mfumuko wa bei kutoka sh. 500/ kwa kg wakati wa mkapa hadi 2500/.kuhusu EPA,KAGODA, MEREMETA hajaongea.Kuhusu wanafunzi wa darasa la saba kuingia kidato cha kwanza kwa alama 70 hajaongea? kuhusu kufeli wanafunzi wa form four kiasi ambacho hakijawahi kutokea tz hajaongea? Kuhusu matusi ya Lusi,Nka,gulu hajaongea. Hongera sana mkuu naona JOIN DATE 8/4/2013 lakini post zaidi ya 700 ukipiga hesabu mara 7000=4,900,000/ kidogo maisha yanaenda.:rockon:
 
Wakenya wanashangaa jinsi tanzania ilivyoweza kuwahoji watu wengi kwenye katiba..dunia nzima imeshangaa
 
huyu jamaa hakujiandaa km gamba wengine bungeni.mböna anaongea km mama wa kiswahili
 
Vipi mbona maisha bora hayatamkwi? Na vipi yale meno ya tembo yaliyo kamatwa Hongkong?
 
Chadema wakubali nchi hii tuko wengi sio chadema peke yao, waache kiburi, wamedekezwa mda mrefu, wanatukana kila mtu, wakubali kulikuwa na watu kabla yao na wao wataondoka tu
 
Mtoto wa dadangu aliniomba pesa ya kununua nguo eti wameambiwa na walimu wao wavae nguo nzuri leo kuna wageni wanakuja!Niliona huruma kwa vile aliomba akitaka hata kulia,nikamtumia 30,000Lol,kumbe ni hawahawa kina Kinana!Imeniuma sana kwani nimetoa kwenye kibiashara changu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
"MATUSI BORA YA WA BUNGE WA CCM BUNGENI" Peter Serukamba.. ---- you, yeye anaendelea, Hajatolewa nje na migambo wa bunge, Juma Nkamia..siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa, yuko anaendelea kuchukua posho, Selvester Mabumba.. Wabunge wa chadema mnawashwa eeeh!...nae hakuna muongozo hapa !!, Lusinde..kuna wabunge humu wamepachikwa mimba zisizo tarajiwa hapa...nae hajatolewa nje !!,anasaini kawaida.. ,Lakini Tundu Lisu kuomba mwongozo....imekua kosa...na kufukuzwa bungeni kama jambazi...,kwa haya ni kuyakataa kabisa,na kukikataa CCM Ambacho Kimeshindwa Kazi, Watumie Watu 10 Waajue Udhaifu Wa CCM !!
 
ANASEMA CHADEMA WAMEDEKEZWA MUDA MREFU! Najiuliza nani anawalea
 
Pumba tupu hapa za Seif khatib....et viti maalum chadema wengi wake za watu wa humo chadema.Hiyo hoja haina mashiko hat kidogo.
Miss strong hata wewe hauna mashiko, mbona ccm wabunge wa viti maakum ni wake zao na hatusemi? Mbona sarah msafiri wakubwa wanakula hatusemi? Mbona wewe unaliwa hatusemi?
 
Back
Top Bottom