LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

hotuba yake kinana inaishambulia chadema,hakuna cha maana anachoongea.
 
Hivi huu mkutano ni kuhusu Chadema? Aaargh nani kanambia niangalie leo TBCCM
 
namcheki tena hapa tbc hashawishi hata wana ccm wenzake.hadi gambas zimekuwa bored.sijui nani ataenda washushia jukwaani?
Yule talibani aliyemchapa mzee ruksa vibao aje mshusha hapo huyu bakwata b.
 
Ni waongo,wakubwa, wamemtukana rais, wameitukana serikali,wametukana vyombo vya dola, wanamsema kila mtu.
 
Chadema wanaangalia maslahi yao si ya watanzania,tujihadhari nao wanakotupeleka sipo

Hizi ni updates au unajisemea tu? Kama ni updates naona wamepoteza mwelekeo, why wanazungumzia chadema hujui utafikiri ndo yenye serikali?
 
Kumbukumbu:

Tangu kuanza kwa siasa za vyama vingi mwaka 1992 mpaka sasa mkoani Morogoro HAKUNA jimbo hata moja lililowahi kuchukuliwa na upinzani.
 
Kwa namna Mzee Kinana anavyolialia,nimeamini CHADEMA ndio chama tawala na CCM ndo wapinzani.na kina wapa shida sana,wakilala,wakiamka wanaiwaza CDM 2!
 
Wanaohama chadema kwenda vyama vingine wao wanawaona mamluki lakini akihamia mtu chadema ni shujaa
 
Kinana amewapasha wananchi kuwa chadema wanajifanya wanaakili kuliko watz wengine. Nimaneno mazuri kwa wanachadema.
 
Yaani kinana hadi namhurumia mapovu yanamtoka,anasema migogoro ya chadema haina mkono wa ccm.
 
morogoro kila anaesimama ni chadema, chadema,chadema,chadema cdm, cdm, cdm, cdm, cdm, no more....,hee hadi inakera. cdm inatamkwa mara nyingi kuliko ccm.
 
Unafikiri ishu ni nini cha kuwaambia wananchi,ishu ni Nnape na kinana kujipatia perdiem maana hata wao wanaona hali ni tete majukwaani,kila wakipanda watu bana tumeshachoka. bana hata ''mrogoro kimenukaga mweeeeee onah!!!!!!!!!''Mlugulu mmoja alisikika akimaka. chezea operation m4c ya macdm weye!!!!!!!!!!! hapa wangejiendeaga labda ilala boma huko wakajaribu siyo mikoani. Embu ona chumvi bei juu,samaki bei juu,unga bei juu,mafuta bei juu,kodi ipo juu,dawa bei juu kuna sababu ya kuwa washkaji wa mabwepande?
 
kwanini msizungumzie matatizo ya wananchi badala yake mnapambana na chadema je hiyo ndiyo kazi yenu au vipi
 
Viongozi wao wamekaa muda mrefu madarakani lakini watu wakitaka kuwaondoa kwa demokrasia wao wanasema ni ccm
 
Back
Top Bottom