Naona TBC hapa wanaonesha show ya Diamond na watu wanashangilia na kucheza kweli,
ila anaposema mtu ccm oyeeee kelele ni chache sana compared to diamond, linnah na wanaume TMK
hivi ccm wanaweza kujigamba kweli kuwa ule mkutano waliohudhuria wameenda kwa ajili yao?
Kama show za diamond kwenye ukumbi ambao kiingilio huanzia 10,000 watu huudhuria kibao!
Je wangeacha kuhudhuria show ya bure hata kama wanachadema?
Kweli ccm inajidanganya sana! Yaani mnaenda kuhutubia watu walioko kwenye show ya wasanii wanaowakubali?
Maskini mmeamua kuwakatia burudani yao hadi mmalize mkutano ndo show yao itaendelea tena!
Kama mnajiamini kwa nini mtafute wasanii???