LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Kapanda Fisadi Abood, waarabu wajanja sana, Kenya huwezi wakuta waarabu kwenye siasa
 
Namsikia Nape anahutubia kuwa mwenyekiti wa taifa wa chadema alipata division zero form four na msemaji wa chama alikimbia chuo kikuu bila kumaliza masomo yake.

Hizi habari ni za kweli makamanda?
 
Magamba mbona comparison na Chadema nyingi sana?kwani mkutano wenu ni wa kujilinganisha na Chadema?si mnasema Chadema hawawasumbui?mbona kama mnatapata hapa? Sera zipo nyingi ongeeni kuhusu maendeleo mliyowapa wananchi sio kujilinganisha. chadema hawahitaji kulipa watu kwenda kwenye mkutano, hawahitaji wasanii kuhimiza watu waende kwenye mkutano wao ni sera, sasa mbona hapa sera sioni? Na pia huu ,kutano mnajitetea sana kwamba vijana mnao mbona nikiangalia washiriki hapa umri wao unanipa mashaka?na huyu mbunge jimbo dogo namna hiyo hadi asome hotuba yake? Kwani hajui maendeleo ya jimbo lake?au inakuwaje hapa?
 
Matusi pia yametawala kama kawaida. Leo ni Mohamed seif Khatibu kumbe nae mdomo wake ni mchafu.
 
Namsikia Nape anahutubia kuwa mwenyekiti wa taifa wa chadema alipata division zero form four na msemaji wa chama alikimbia chuo kikuu bila kumaliza masomo yake.

Hizi habari ni za kweli makamanda?
 
Pamoja na utu uzima,kupata exposure japo elimu hauna ya kutosha bado umeendelea kua mwepesi wa mawazo tu na kuendelea kusadiki mambo ya misukule!!aibu sana!sasa exposure uliyopata inakusaidia nini?
Kwa nini nisisadiki wakati wewe mwenyewe nakuona ni msukule?
 
meya wa manispaa ya MOROGORO leo hii akiongea katika mkutano wa CCM,amesema CHADEMA wanatabia za bata za kuharisha hovyo hovyo! Mazuri yote yanayofanywa wao hawayaoni kazi kulalamika kila kukicha
 
Kwa mkutano huu hakuna kama ccm, 2015 ushindi daima. Anayetaka picha atazame tbc sio kuleta umbulula humu.
 
Elimu si hoja, Zuma hana elimi lakini anaongoza Taifa kubwa kiuchumi africa. Mbona nape hazungumzii elimu ya Butimba
 
Matusi pia yametawala kama kawaida. Leo ni Mohamed seif Khatibu kumbe nae mdomo wake ni mchafu.
Huyu jamaa kasahau kuwa wanandoa ya kisiasa na cuf kule znz, mbunge wa morogoro mjini anasema juhudi binafsi sio za chama wa serikali yake. Kweli nimeamini upumbavu wa viongozi wa ccm unatoka kwa Mungu kama ulivyokuwa wa farao wa kule misri
 
Kwa hiyo sisi Kyela hatuna huduma muhimu za maji;umeme;matibabu na watoto wetu wote wamefeli kwa sababu MBOWE na MNYIKA hawakumaliza elimu zao?

Tuambieni kwa nn Kyela tunakosa huduma karibu zote za jamii na ACHENI POROJO!
 
Back
Top Bottom