Mleta wataje na ye ameanza kuponda serikali ya sasa.
Kuna thread imeletwa hapa analalamika "Wanatumiwa tu " na hawanufaiki na
chochote.. ahadi waliahidiwa ni debe tupu ....
Aache kukufuru... Bila Serikali ya CCM yeye na Madansa wake wasingeijua USA ikoje; Lazima awachezee kokote wamempeleka sehemu asingezikanyaga yeye na Madansa wake... na kukaa hoteli swafi bila bughudha ya chakula; Malipo