TBC inaonyesha 'Live' Aliye karibu na TV atupiemo mimacho hapo. Nimemsikia Nepi anasema ' msidanganyike na wanasiasa UCHWARA' akaendelea 'walikuja hapa Morogoro watu wakafa' pata picha uki-relate mlolongo mzima wa mauaji yaliyotokea na utekaji unaoendelea kutokea, wewe kama GT unapata picha gani hapo?
Muuaji, mtekaji ni huyohuyo kwa kisingizio cha kwamba fulani ndiyo anafanya mauaji sasa wanakuja kupanda majukwaani kuwaeleza wanaouwa watu ni wanasiasa wa Vyama vya UPINZANI(not only Upinzani, ni CHADEMA).
All of CCM are HOPELESS. Hamna chochote wanachowaambia wananchi zaidi ya kuiongelea CHADEMA.