utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Wabunge wa ccm ihojini serikali,ikikosea, ikifanya vizuri ipongezeni
Huu ni mkutano wa CCM au CHADEMA?
Wana sera ya black mail, kwamba usiponifanyia hivi nafanya vile.
ZeMarcopolo, unakumbuka TBC walivyowafanyia uhuni CDM mwaka 2010 wakati wa ufunguzi wa kampeni pale Jangwani, kiasi cha Marini Hassan Marini kukudwa? Yaani TBC hawatakaa waonyeshe mikutano ya CDM kwa usawa na ile ya CCM kwa kuwa TBC wapo chini ya waziri mkuu ambaye ni kada namba moja wa CCM. Katu hatakubali TBC waipe coverage chadema. Hilo lipo wazi. Ndiyo maana tunaipigia kelele CDM ianzishe TV yake au ifanye alliance na moja ya kituo kikubwa cha TV nchini kwa mfano ITV ili kuhakikisha habari zake zinaifikia jamii ipasavyo, ila sema ndiyo hivyo viongozi wa CDM na wenyewe siyo wasikivu pia.CDM kususa ni kawaida yao.
CUF sijui kama wameshawahi kuomba huduma ya TBC wakakataliwa.
TBC kurusha matangazo ya vyama ni sawa kwa sababu siasa ni sehemu ya shughuli za jamii, lakini hawapaswi kupendelea chama fulani. Kila chama kikiomba huduma kinatakiwa kipewe equal consideration.
Kumbukumbu:
Tangu kuanza kwa siasa za vyama vingi mwaka 1992 mpaka sasa mkoani Morogoro HAKUNA jimbo hata moja lililowahi kuchukuliwa na upinzani.
kweli kabisa naona wananchi waliopo hata hamsikilizi.Kinana yupo disconnected
sana na audience.hata hapo kukwaani wameboreka.hakuwa na hotuba.hata
akiuliza watu hawaitikii.watu wana wapiga story.
Mvua inawachapa waödoke.
ZeMarcopolo, unakumbuka TBC walivyowafanyia uhuni CDM mwaka 2010 wakati wa ufunguzi wa kampeni pale Jangwani, kiasi cha Marini Hassan Marini kukudwa? Yaani TBC hawatakaa waonyeshe mikutano ya CDM kwa usawa na ile ya CCM kwa kuwa TBC wapo chini ya waziri mkuu ambaye ni kada namba moja wa CCM. Katu hatakubali TBC waipe coverage chadema. Hilo lipo wazi. Ndiyo maana tunaipigia kelele CDM ianzishe TV yake au ifanye alliance na moja ya kituo kikubwa cha TV nchini kwa mfano ITV ili kuhakikisha habari zake zinaifikia jamii ipasavyo, ila sema ndiyo hivyo viongozi wa CDM na wenyewe siyo wasikivu pia.
Kama unataka habari za mkutano wa chadema nenda kwenye thread yake. Ipo kule ina comments nane tu tangu mchana.
kwa sababu mchawi aliyewaloga naye kalogwa! poleni sana:bange:Ccm tuna matatizo lakini hatumtafuti mchawi