Kinana amekagua barabara mbalimbali zinazoendelea kujengwa kuunganisha mkoa wa moro na mikoa mingine
Weka mbali na Tembo!! Tokea lini kawa Engineer Huyo adui wa Tembo?
Kinana amekagua barabara mbalimbali zinazoendelea kujengwa kuunganisha mkoa wa moro na mikoa mingine
Viongozi wao wamekaa muda mrefu madarakani lakini watu wakitaka kuwaondoa kwa demokrasia wao wanasema ni ccm
Naangalia wasanii tu wakimaliza kutumbuiza nazima tv! Asante ccm show ya bure!
Mh,.!.?.?
Sijaona equality hiyo.
Labda unipatie evidence.
Kinana yupo disconnected sana na audience.hata hapo kukwaani wameboreka.hakuwa na hotuba.hata akiuliza watu hawaitikii.watu wana wapiga story.TBC nani anaangalia siku hizi? matangazo waliyo nayo ni kusafisha wauaji na wang'oa kucha meno na macho bila ganzi.
mazee watu wamevumilia mvua.ajabu kweli asee.Nashukuru Mungu mvua inanyesha, mkutano kwishnei...
Sijaelewa unataka evidence ya nini?
mazee watu wamevumilia mvua.ajabu kweli asee.
usidhani we ndo una tv peke yako.kila mtu anaona.mzee kinana katouch sana watu,wapo wananyeshewa mvua lakini hawaondoki.kama ulikuepo mkutanon baada ya diamond kumaliza watu wote pluuuuu
CHADEMA ilisha tajwa mara 300 CCM mara 80