JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Kwa sasa nipo Ipole, wana wa nchi wanazidi kumiminika kwenye vituo vya kupiga kura na kadri muda unavyozidi kusogea ndivyo na matumaini ya CCM yanavyopotea na ishara za CHADEMA kushinda zinaongezeka!
Baada ya saa moja nitakuwa Kiloleli kuwajuza yanayojiri, lakini kwa ujumla CCM wako chali. Tuvute subira kwa matokeo za zaidi ya kituo baada ya kituo na matokeo kwa ujumla.
NB: Natumia Nokia 2323c ambayo haina kamera, kwa hiyo msiniulize habari ya picha! Ahsanteni.
Baada ya saa moja nitakuwa Kiloleli kuwajuza yanayojiri, lakini kwa ujumla CCM wako chali. Tuvute subira kwa matokeo za zaidi ya kituo baada ya kituo na matokeo kwa ujumla.
NB: Natumia Nokia 2323c ambayo haina kamera, kwa hiyo msiniulize habari ya picha! Ahsanteni.