I'm fine too dear, thread is still on💥 since 2014, nilikua hata sijui kama kuna Jf aisee😛Seems like fun, yes.😃😃
Been good Ma. Thread-hopping from time to time. A comment here and there...
How about you?
Mmh kaongo wewe😀😀Nipo single!
Nimechoka kuwa single!
So would you be the one , i was waiting for so loong😜 nakuhitaji wewe muanzisha uzi au jimbo is already taken?🏃♀️Its Good.
Yes very good!!
Mmh tangu 2014 ulikua unanisubiria mimi kweli😀😀Hallelujah!! Kila nafsi na iseme Amen.
Na umekuwa single muda sanaaaa sijaonaga hata ukichekewa.Nipo single!
Nimechoka kuwa single!
Kumbe hata wewe umeliona hilo! Nimechoka tu yaniNa umekuwa single muda sanaaaa sijaonaga hata ukichekewa.
Natarajia soon hali itabadilika.




I'm fine too dear, thread is still on💥 since 2014, nilikua hata sijui kama kuna Jf aisee😛
Siku njemaa.
Lol.Kumbe hata wewe umeliona hilo! Nimechoka tu yani
Kwani wewe una mtu? Maana hizi mambo hatushauriwi kwenda mbali hata![]()
Na anavyojiamini huyu mpya akomae tu bila hiyo atayumbishwa 🤣🤣🤣🤣🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️Itabidi akomae, kama alivyokomaa yule wako.
Tangazo la Ndoa mpya liwe na nguvu.
Tulia basi...Lol.
Hebu tulia chagua mchuchu.

Tulia mzee, nataka kuopoa kitu hapa weweNiko pembeni hapa natizama turolling
![]()
uone mwisho mzuri
Japo hata ukiringa ringa mie nimeshaamua moja(ko siwezi kurudi nyuma).Lakini hebu na wewe kwa moyo m1 amua tu moja mpendwa @espy.Na hakika hautojuta company na treatment nitayokupa.Hebu Naomba nijibu kabisa huko Mafichoni mpendwa wangu@EspyNipewe nini mie jamani
Sijui nikukubalie tu sijui niringe ringe kwanza. Au utaghairi?
@kiwatengu kakataza mambo ya mafichoniJapo hata ukiringa ringa mie nimeshaamua moja(ko siwezi kurudi nyuma).Lakini hebu na wewe kwa moyo m1 amua tu moja mpendwa @espy.Na hakika hautojuta company na treatment nitayokupa.Hebu Naomba nijibu kabisa huko Mafichoni mpendwa wangu@Espy