Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Msalimie mama konde(harmo)hayo mapinduzi ya jamii frm au ya zanzibar?ht uko ntwara mbona wapo maan wameenea kote
 
Msalimie mama konde(harmo)hayo mapinduzi ya jamii frm au ya zanzibar?ht uko ntwara mbona wapo maan wameenea kote
Mama salamu ntamfikishia pia kumueleza kijana wake siku hizi anasuka .Tatizo ni utofauti kati ya" ntu na ntu" we unajua
haya mapinduzi ya JF ila ni mapinduzi hewa mkuu Kidudu na muheshimu sana yeye" hajaribiwi" japo na mimi ni Nna ka UmanFongo a.ka panga boi ya helicopter weka mbali na mti wa ajabu
 
Hahahaha sawa sina neno
 
Duh mkuu unakaba mpaka penalty, huna uwezo wa kuibua vipaji vingine?
hapana mkuu lengo sio kukuharibia ila kama ana mdogo wake au rafiki yake basi ndio nilikuwa namaanisha aniweke huko
hatari sana (In Sheikh Kipozeo Vioce)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…