mimi niko huku nanjilinji hapa karibu kabisa na kwa akina Harmo huko Sinza sipajui,
sio siri Mti wa Ajabu ni kwa heshima tu ya ndugu yangu Kidudu ila hapa mapinduzi yalikuwa yanahusika sana sasa mi najua haukosi hata mdogo wako hebu fanya fanya mambo basi
Mama salamu ntamfikishia pia kumueleza kijana wake siku hizi anasuka .Tatizo ni utofauti kati ya" ntu na ntu" we unajua
haya mapinduzi ya JF ila ni mapinduzi hewa mkuu Kidudu na muheshimu sana yeye" hajaribiwi" japo na mimi ni Nna ka UmanFongo a.ka panga boi ya helicopter weka mbali na mti wa ajabu
Mama salamu ntamfikishia pia kumueleza kijana wake siku hizi anasuka .Tatizo ni utofauti kati ya" ntu na ntu" we unajua
haya mapinduzi ya JF ila ni mapinduzi hewa mkuu Kidudu na muheshimu sana yeye" hajaribiwi" japo na mimi ni Nna ka UmanFongo a.ka panga boi ya helicopter weka mbali na mti wa ajabu