kivuli utusitusi
Senior Member
- Oct 21, 2012
- 153
- 243
Ndio anaepokea mahari zote.
Mahari zote??? Toka kwa wangapi?
Ndio anaepokea mahari zote.
kuna jamaa walimzingua...mabazazi!! akaamua kubadili ID, yupo lakini kwa jina la tofauti!!
Tatizo kaka majukumu ya kutumbua majipu ilikuwa balaa, tunasahau hadi ya jamiiteh teh...
tatizo madafu ya kisarawe yanamchanganya sana kabanga.
atoto kweli sijiongezi....?Aaaah kabanga mzushi, nimemfukuzia weeee hata hajiongezi.
Kweli ulinifuma....? mbona hukunishitua...?Nimemfuma mahali anamuomba nanilio cute b hata sina hamu nae tena!
sijamuona mie...teh teh....hakushtuka?
tuyamalize.....Mmmh! Nilikustua ukauchuna km sio wewe!
tuyamalize.....
sawa,.....Akuuuu! Sitaki
Hahahaa. Jaribu utumie carolyte.Nipeni mbinu nimpate Miss Chagga
ngoja na mimi nijaribu bahati yangu my name is my name njo huku tulijenge
Nimekukumbuka mpendwa....!Akuuuu! Sitaki