johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,009
Kipekee sana nimpongeze Waziri wa Elimu Prof Mkenda na timu yake kwa kusimamia mchakato na hatimaye kutuletea Mtaala mpya
Mtaala unaoondolewa umetuzalishia Chawa wa kutosha akina Mwijaku, Zitto, Pambalu, Tindo nk tulifika pabaya sana
Jumaa Mubarak
Mtaala unaoondolewa umetuzalishia Chawa wa kutosha akina Mwijaku, Zitto, Pambalu, Tindo nk tulifika pabaya sana
Jumaa Mubarak