Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.
Nimeishia kupata aibu mimi na wanaCCM wenzangu. Sijaona point yoyote ya maana kutoka kwa Mangulla zaidi ya majibu mafupi na mabovu.
 
mangula aliyekosa hata mvuto wa kuwa mbunge leo atasaidia nini chama??? kula usubiri kushfa za wizi wa mali ya taifa, maana nyie kashfa ni kitu kidogo tu kula ndo cha maana, chair wenu anaita ajali za kisiasa itakuwa wewe nusu chair??? pole mangula ni njaa tu imekurudisha lakin unajua huna la maana, wanachama wa njombe tu walikukataa leo umakamu wa CCM taifa umeupataje, wahun wanakutumia kumalizia michuzi? na wewe una akili ukakubali???? pole mangula pole.
 
nakuunga mkono mkuu!
mtangazaji is too much of an 'Ametur' anatakiwa mtu mzoefu kuendesha hiki kipindi... La sivyo basi mtangazaji ajitahidi ku-stay on truck, sio kuhama hama kwa maswali mengi tofauti tofauti

kipindi ndiyo kimeanza, tutoe michango ya kukiboresha. Mimi naanza kama ifutavyo: (1) nashauri mwendesha kipindi asitenganishe wahusika wakati wa kurusha kipoindi. (2) kuwe na vipaunbele ambavyo wahusika wanatakiwa kuvitolea ufafanuzi na siyo kwenda randomly kama leo (3) naomba watu wa kukutanisha wawe wa level(ngazi) moja kichama, kama vile makatibu, wenyeviti, makamu wenyeviti, makatibu wenezi, manaibu katibu, n.k, ili kupima mambo yanayowiana Huo ni ushauri wangu tu!
 
mangula aliyekosa hata mvuto wa kuwa mbunge leo atasaidia nini chama??? kula usubiri kushfa za wizi wa mali ya taifa, maana nyie kashfa ni kitu kidogo tu kula ndo cha maana, chair wenu anaita ajali za kisiasa itakuwa wewe nusu chair??? pole mangula ni njaa tu imekurudisha lakin unajua huna la maana, wanachama wa njombe tu walikukataa leo umakamu wa CCM taifa umeupataje, wahun wanakutumia kumalizia michuzi? na wewe una akili ukakubali???? pole mangula pole.
Mangula huwezi kumlinganisha nayule mzee mwizi wa wake za watu na mzinzi wa kupindukia.
 
slaa kasema wabunge
wapigane bungeni. mzee huyu hana akili. yeye mbona mkono mmoja ndiyo
unafanya kazi. anaweza kupigana kweli! bado nasisitiza kuwa SLAA NI ADUI
WA AMANI HAPA NCHINI

hili ndio tatizo letu watanzania, tunapenda sana kupotosha.!
slaa alikuwa anatoa mfano wa mabunge ya vyama vingi huko ulimwenguni yanavyoendeshwa ambapo alisema watu wanafikia hatua ya kupigana!
pia kuhusu amani amesisitiza kama ambavyo amekuwa anasisitiza kuwa AMANI haihubiriwi bali ni matunda! Na ni matunda ya HAKI.!
Tukiwa na serikali inayotenda haki, amani itakuwepo
 
Mbona slaa alikuwa anaongea kama anakimbizwa alikuwa anahofu nini sasa.
 
Slaa hana akili ya kujibu swari kama hilo chadema yote ni zito pekee yake ndiyo anaweza kujibu swali hilo.

what a poor boy,
maskini mwadhirika wa elimu hata kuandika hujui...pole sana mkuu.
 
Slaa hana akili ya kujibu swari kama hilo chadema yote ni zito pekee yake ndiyo anaweza kujibu swali hilo.

Poor CCM members,They simply don't know how to stop Dr Slaa.You know what?No matter what,We need Dr Slaa to clean up the mess you morons created.No one can do a better job than Dr Slaa,We need him at least for one term to lay some foundation down and then we give a second term to another patriotic politician to finish the lap off.
 
maswali darasan mwl humuuliza genius na sio vilaza

HAHAHAA, Mkuu umemaliza kila kitu kabisa!! me sijaangalia kipindi nmecheki update tu hapa jf, nikajiuliza mbona watu wanasema kuhusu Dr. Slaa tu ina maana Mangula hajaongea kitu!!? kumbe amemezwa!!
 
Mbona slaa alikuwa anaongea kama anakimbizwa alikuwa anahofu nini sasa.
Muda wa kujibu swali ni mfupi na data ni nyingi, hivyo lazima azungumze haraka to make a point. Unakumbuka shuleni tulikuwa tunapewa maswali 10 kwa dakika 5 kuyajibu?
 
Najua kuwa unamtumikia slaa na humpendi zito lakini kaa ukijua zito ni kichwa zaidi ya babu.

hahahahaha una tumia ID mbili ile ya thatha tume kuona kituko...hii tuta kuona mpuuzi...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom