MIMI namtaka nape na KINANA na kamati kuu ya CCM waliafikiana vipi na JK kuendelea na mawaziri mizigo?hapo ndipo tunawataka waje kutueleza mawaziri mizigo ina maana JK yeye awaoni big up CHADEMA toeni elimu ya uraia
Serikali ya ccm imekuwa kikojozi kwani inafanya mambo ya ajabu sana!
Kufeli shule kitu kibaya sana, una chopa tatu, wakati huna pakuzipaki, una wafanyakazi huna ofisi miaka yote mnaishi nyumba iliyokuwa guest house. Chadema ni kipindupindu kwa taifa.
Mkuu CHAMVIGA kumbe na ww ni gamba
Msigwa anasema kinana anajipigia dili za tembo anavyotaka. Anauliza songea mnamtaka nchimbi, 'watu hapanaaaaa,ametuaibisha sana'' anasema jk anapenda sana kujirusha marekani huku anacheka cheka tu
Mkuu mbona povu linakutoka hivo?
Kwani ni Uongo kuwa Chadema Chama Makini,
Ni Walinzi wa Rasilimali za Taifa? Huhitaji kuwa na Shahada kung,amua hilo.
poor you
Msigwa anasema cdm inaunganisha watz wote katika kumtoa adui maskini unaoletwa na maccm. Watu wote hawa wangekuwa wanapga kura ingekuwa mzuka kinoma!
Songea; watu tele! Wanakula dozi ya mchungaji kabla Dr hajapanda jukwaaani!
Msigwa anasema kinana anajipigia dili za tembo anavyotaka. Anauliza songea mnamtaka nchimbi, 'watu hapanaaaaa,ametuaibisha sana'' anasema jk anapenda sana kujirusha marekani huku anacheka cheka tu