CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Kwanza tokea lini nchi ikaongozwa na PADRE BANAA??
Aende akachunge kondoo zake huko,sisi sio wajinga kias hiko
Kazi ipo.
Kwanza tokea lini nchi ikaongozwa na PADRE BANAA??
Aende akachunge kondoo zake huko,sisi sio wajinga kias hiko
Wajinga ndio waliwao...
Wajinga ndio waliwao...
Kazi ipo.
Dr. Slaa apite maeneo mbalimbali ya wilaya ya mbinga, kama kingerikiti, maguu, litembo na kwingineko! Pia awaamshe wanambinga, maana mafisadi kupitia ccm wamewalaza usingizi mzito wana mbinga na wanaruvuma kiujumla!
cdm ni zaidi ya serikali
aisee mbona kajitahidi sana, unajua simu aliyonayo ni aina gani? Unakujua mbambabay lakini wewe,mleta mada nakupa hongera ila picha zako hazina kiwango na hazichukui eneo kubwa la mkutano
Teh teh teh ccm chali,Nape wapi iyoooo hahahaaaa Kinana kimya baada ya Jk kutangaza baraza la Mawaziri...
we unawaita wahuni, mwenyekiti wako anasema hivi:Makamanda tukotayari kukabidhiwa nchi na mah.uni, ya ccyem yanayopagawa yakisikia jina chadema.
Na kweli umeshaliwa jishike vizuri utaona vitu mithili ya kamasi la mtoto au yai la kisasa vinatiririka katikati ya sehemu iliyo inuka zaidi kwenye mwili wako.
Hii hatari kabisa, yaani msururu wote huo na Dr. bado kufika?
Uwanja wa mpira wa miguu mbamba bay ni eneo la polisi angalia fensi ya misonubari kijiji hakina uwanja wa mpira mkuu jukwaa ni la kudumu na lipo upande wa mgharibi kilipo kituo cha polisi kama unaelekea bandarini umenipata we pimbi.....mie naishi hapaumetaja viwanja vya polisi ambavyo havina mlima huko unako kusema wewe ni kuelekea mahakamani na siyo viwanja vya polisi inaelekea umetumiwa picha wakati hujafika mbamba bay ndo maana una panik nimekubamba! na hilo jukwaa limejengwa kule mlimani? toa maelezo yanayo jitosheleza kama vipi tupia picha za nyongeza maana hiyo haina uhalisia na eneo unalo litaja
Na kweli umeshaliwa jishike vizuri utaona vitu mithili ya kamasi la mtoto au yai la kisasa vinatiririka katikati ya sehemu iliyo inuka zaidi kwenye mwili wako