Live: Kutoka Mbamba bay mkutano wa Dk. Slaa

Live: Kutoka Mbamba bay mkutano wa Dk. Slaa

CCM kwishney!
Nimeamini makamanda mnatisha... Acheni ccm wapate kigugumizi!
Mwendo mdundo mpaka 2015, kitaeleweka!!!
Kampeni iendelee, jua na mvua, kijiji kwa kijiji, miezi 21 imebaki mpaka uchaguzi mkuu 2015.
Kwa mwendo huu huu tutafika...
 
Mkutano umekwisha dokta anaenda kupanda chopa na kupaa zake. Kutoka hapa uwanja wa matarawe mjini songea,ni mimi deo vito corleone a.k.a ceo wa mikekani investment wa jf.
 
Porojo kwenye jf na majukwaa ya washangaa chopa halafu unaondoka hata tawi hunma, kweli mijinga ndio iliwayo
 
Mkutano umekwisha dokta anaenda kupanda chopa na kupaa zake. Kutoka hapa uwanja wa matarawe mjini songea,ni mimi deo vito corleone a.k.a ceo wa mikekani investment wa jf.

Mkuu, godfather hawezi kuhanya. Go and watch the insomnia by al pacino, pia the scarface ndio utazid kumpenda michael corleone
 
attachment.php
 
Hapo sasa unakosea, najua wewe unataka ruzuku ijenge ofisi alafu chama kishindwe kuwafikia wananchi, ukijenga ofisi nzuri wakati chama akiendi kwa wananchi utakuwa umefanya la maana ?
Anataka CHADEMA ivae suti wakati tumbo tupu....!CCM wanajivunia sana majengo ndiyo maana wamejenga shule za sekondari bila walimu!
 
Back
Top Bottom