Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,049
- 1,022
Chadema angani, aridhini na mioyoni mwa watu ccm itapona?
naona gamba unajipenyeza.nyosha maelezo
huyu ndiye rai.si 2015.
hivi mbona huwa hamumuiti padre?
Sasa ulikuwa unabisha nini huo uwanja wa mpira upo ndani ya eneo la polisi aliyekuwa diwani wenu marehemu Chindongo alifanya ufisadi mkubwa akagawa viwanja vyote akasahau kutenga eneo la uwanja wa mpira na soko CCM mna laana kubwa ......!!!naona unazidi kujichanganya ama una mashaka na sacos, jukwaa nalifahamu vema si limepakwa rangi ya kijani na njano likiwa linatazama mlimani na liko nyuma ya polis nani mgeni hapo? usiogope! tupia picha basi maana hiyo ya mwanzo haieleweki ni kama imetengenezwa ufipa street vile, ukimaliza nipitie nipo hapa mdule mkubwa wa makuti siyo huo wa hapo uwanjani tupange mikakati