Hakika leo bongo za watu wa Songea zitashiba material za kutosha..
Anasema watz tusitenganhshwe na dini zetu,makabila yetu wala rangi zetu. Mvua imekata watu wanarejea uwanjani. Tumeloa chapa chapa
Kusafisha macho sio mbaya,haka kamvua kamelowesha mashati ya mademu basi burudaniiiii! Mvua imeongezeka hapa watu bado wamejaa