Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 25,097
- 27,192
Ha ha haa! Dr Slaa bana, yaani ameamua kufanyia mkutano katika uwanja wao kabisa!... watu wanaendelea kumiminika uwanja wa Polisi hapa Mbamba Bay wakimsubiri Dk. Slaa....
Ha ha haa! Dr Slaa bana, yaani ameamua kufanyia mkutano katika uwanja wao kabisa!... watu wanaendelea kumiminika uwanja wa Polisi hapa Mbamba Bay wakimsubiri Dk. Slaa....
Njaa mbaya,wakati wa kupiga kura wengi wanabadilika wanafuata mnuso.Hii hatari kabisa, yaani msururu wote huo na Dr. bado kufika?
unaonekana kilaza wa kutupwa..cdm wamelinda rasilimali gani za taifa?
na umesoma jografia gani ya kuifananisha mbamba bay na congo?..div5 loading.............
Chadema inaenda kumwaga sumu kwa wananchi, they got nothing good to say about themselves thts why they are spending much time to say bad thing and preach hatrate over government. Shame on you Dr slaa, itakuwa ni vyema ueleze km ulemkopo umeurudisha ama laa
Unaonekana kilaza wa kutupwa..CDM wamelinda rasilimali gani za taifa?
Na umesoma Jografia gani ya kuifananisha Mbamba bay na Congo?..dIV5 Loading.............
Wakuu, kama nilivyowaeleza jana kuwa kutakuwa na mkutano mkubwa hapa Mbamba Bay watu wanaendelea kumiminika uwanja wa Polisi hapa Mbamba Bay wakimsubiri Dk. Slaa.
Mch. msigwa ameshawasili hapa pamoja na viongozi wengine, katibu wa chama wilaya anamkaribisha mch. Msigwa naye anawasalimia wananchi na moja kwa moja anawaambia kuwa Rais wetu ni mtalii nchi ina rasilimali nyingi lakini inafilisiwa na wezi yaani CCM.
Bado dk. Slaa hajawasili.
Chadema inaenda kumwaga sumu kwa wananchi, they got nothing good to say about themselves thts why they are spending much time to say bad thing and preach hatrate over government. Shame on you Dr slaa, itakuwa ni vyema ueleze km ulemkopo umeurudisha ama laa
chadema inaenda kumwaga sumu kwa wananchi, they got nothing good to say about themselves thts why they are spending much time to say bad thing and preach hatrate over government. Shame on you dr slaa, itakuwa ni vyema ueleze km ulemkopo umeurudisha ama laa
Njaa mbaya,wakati wa kupiga kura wengi wanabadilika wanafuata mnuso.
Chadema inaenda kumwaga sumu kwa wananchi, they got nothing good to say about themselves thts why they are spending much time to say bad thing and preach hatrate over government. Shame on you Dr slaa, itakuwa ni vyema ueleze km ulemkopo umeurudisha ama laa
hujaenda kubeba bango mbinga au nauli kubwa
Kwa akili zako fupi unaona hizo pesa ni muhimu Kuliko katiba.?
It's called politics...
Ni kama tu vile Mwigulu, Nnauye n.k wafanyavyo kwenye majukwaa ya siasa.
Mtaji wa wanasiasa ni wananchi wenye akili za kuazimwa.