Msigwa,namuona hapa,docta anazungukwa hapa ndugu wanajf. Rais,rair,rais, mbogoro namuona hapa,fuime
Mkuu nakushauri uwe mkweli wa nafsi yako. Watanzania wanahitaji mambo mengi ya msingi kwa ajili ya maisha yao ya kila siku. Kwa hali ilivyo sasa CDM ndo tegemeo la watanzania wengi. Popote aendapo Dr.W.Slaa hupokelewa kwa shangwe kwa sababu ya upeo wake mkubwa na dhamira yake ya ukombozi kwa watanzania wote,Namuona barmaid wa baa ya mtini pale town,dah hadi hausigeli wa jirani yupo! Watu ni wengi na nchimbi anapondwa balaa. Red brigade wapo wakutosha na miwani yao! Kuna madogo wanakamua kiduku jukwaani kwani mwanacotilide anatumbuiza hapa!
Namuona barmaid wa baa ya mtini pale town,dah hadi hausigeli wa jirani yupo! Watu ni wengi na nchimbi anapondwa balaa. Red brigade wapo wakutosha na miwani yao! Kuna madogo wanakamua kiduku jukwaani kwani mwanacotilide anatumbuiza hapa!
Namuona barmaid wa baa ya mtini pale town,dah hadi hausigeli wa jirani yupo! Watu ni wengi na nchimbi anapondwa balaa. Red brigade wapo wakutosha na miwani yao! Kuna madogo wanakamua kiduku jukwaani kwani mwanacotilide anatumbuiza hapa!
Helkopta inaonekana angani inataka kutua, watu wamehamasika kinoma. Put your two fingers in the air hata kama upo shambani!
Mkuu CHAMVIGA kumbe na ww ni gamba
Kila mtu na tecno yake anapga picha. Dkt anapigiwa makofi hata kabla hajatua!! Dkt huyu hapa chini wanamama wote wanapga dokta,dokta,dokta! Songea imesimama kwa muda