ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
Hapo chacha...
Kama tulivyokubaliana wadau basi ndo tumefika eneo la tukio na wadau waliokwishafika ni Remmy Mtambuzi Asprin Madame B
View attachment 84360
updates:
Mkuu Vin Diesel naye yumo ndani ya nyumba.
Daah hadi wazee wa siasa kunyumba...
Update 2:
Mkuu Kipaji Halisi ndani ya nyumba...
Update 3: ismail n. Juma naye yumooo....
Da Madame B..ndo kinywaji gani hiki umeleta dada??!
updates:
4.Hadi sasa kuna members 20 na wageni 5 wote wa kike...
kuanzia kushoto...
manoah
Remmy
Teamo
Vin Diesel
FirstLady....be easy on the strawberry lips. alafu mumeo leo lazima aku...
The Finest
KakaKiiza
Justice faustine
Kipaji Halisi
Mentor...sterling wa IT sector
kushoto na kulia kwangu wageni waalikwa (guest members) (wamekuja na Vin Diesel) ila nimemsaidia kazi
babu Asprin...someone tek this old man away...btw hajaja na wake zake..get the picture.
Madame B
wengine muendelee kujitaja tafadhali govinder kumar inaisha hapa....
Mhmmm tutakuletea matarumbeta unataka nionekane mimi nilikujakuchukuliwa na Vimini? Paloma huyo mwongo kaondoka na Nissan Hardbody sasa ulizia ilikuwaje maelezo anayo Asprin ila mtunzi wa srios hiyi ni The Finest
oooh maamaah! Nimeshajua kila kitu now! Ila kiukweli hardbody inamfaa Madame B cc AsprinMhmmm tutakuletea matarumbeta unataka nionekane mimi nilikujakuchukuliwa na Vimini? Paloma huyo mwongo kaondoka na Nissan Hardbody sasa ulizia ilikuwaje maelezo anayo Asprin ila mtunzi wa srios hiyi ni The Finest
Hicho kitu nilikijua kabla!maana mimi alijifanya kunikabidhi pochi wengine kawakabidhi kingua cha ndani>>>CCM safeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!zidumufukara za mwenye kitu!Jamani nitafutieni yule binti niliondoka nae siku ile....kuna kinguo alikiacha home
Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti.....
mhh kweli binadamu hakunyimi neno! Tumepeana break, 2kiresume mapenzi yanakuwa fire! Kalagabaho na umbea wako!
Msamaha plz maana na huyo mumeo anapenda kayoga unategemea nini mnunulie pingu fungia kwenye mguu wakitanda nikija naondoka na wewe yeye tunamuacha ili nisije kumfundisha tabia mbaya sawa??wewe endelea kuendekeza hiko kilaji umemponza hata mume wangu naye kaingia humo kilichokufanya uje home kumbe ulikuwa unajenga daraja la wanywaji wenzako upate wengi wakuwapotosha ona sasa mume wangu hajakwenda kazini leo kaja hapo na amenidanganya anaenda job nami nimebamba live hapa sipendi huje tena home nasema nitakuchukulia hatua kali za kisheria wewe umesababisha mume wangu awe mlevi acha nimwambie kaka yangu anisaidie haya mambo kwani naona mlima unapasuka bure nami sipendi kumpoteza laaziz wangu kwani nimetoka naye mbali sana mpaka kaka yangu Erickb52 anafahamu hilo
KakaKiiza siku ile ulikuwa bonge la zombie.....Hicho kitu nilikijua kabla!maana mimi alijifanya kunikabidhi pochi wengine kawakabidhi kingua cha ndani>>>CCM safeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!zidumufukara za mwenye kitu!
Acha kuumia aisee mwanaume kitu gani aiseeYani umetaja list nzima ukamwacha mkeo, ama kweli nimefunguliwa macho leo na dada gfsonwin maana amekuangalia pale ofisini kwenu hajakukuta kacheki daftari la orodhesho wafanyakazi hajaona jinalo, kumbe ile asubuhi ilikuwa danganya toto kula kunde mbichi kwangu sikutegemea beibe kunifanyia hivyo acha nimwambie mpiganaji mwenzangu Smile anisaidie maana daraja limeanza kuyumba waungwana wa cc nifanyeje au nipeleke kesi hii kwa kaka yangu Erickb52 anisaidie ndoa imekuwa ndoana kaka njooo home hapa
Nilikuona mikeke yako nikajua hapa lazima naniriyuuu imekula kwake lol!Mzee unatiming kama za simba!!unamida yako unakuwa kama simba mzee unasubiria kisimani ukijua lzima waje kunywa maji!!Nimekukubali!KakaKiiza siku ile ulikuwa bonge la zombie.....
Ulifanya vizuri maana pange haribika ila mwambie hii JF nifamilia moja!!ha ha haaaa....jamaa alikuwa maji mbayaaa...sasa ikabidi niwe mpole tu kuepuka soo
My dada huyo ana wanawake kama timu ya mpira... Au unataka niwe refa wao???
Nilikuona mikeke yako nikajua hapa lazima naniriyuuu imekula kwake lol!Mzee unatiming kama za simba!!unamida yako unakuwa kama simba mzee unasubiria kisimani ukijua lzima waje kunywa maji!!Nimekukubali!
Hilo hilo...hapa CV yangu wameichakachua...kubali basi
hahahaa contessa at work! Mjeda hakuikausha? Hahahaha miss you big big Madame B. Msalimie mtarajiwa wako Ben Saanane! Umejiandaaje kuwa mama mheshmiwa?
Nimeshaonywa na CL. sijali lolote, teh tehe teh