Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,472
- 8,584
Tusaidieni sisi tusio na access na hiyo radio, clouds yenyewe mpk uunge waya kwenye antena ya redioSwali la kwanza....
Tusaidieni sisi tusio na access na hiyo radio, clouds yenyewe mpk uunge waya kwenye antena ya redioSwali la kwanza....
Kwa maana hiyo anataka kutuambia kuwa maendeleo yaliyofanywa awamu ya tano yalikuwa na makandokando?kuleta maendeleo makubwa kupitia siasa safi.
Na ndiyo maana tunasema ukishakuwa na akili za kiccm unakuwa kama chizi au zuzu hivi, uliwahi kumsikia Mbowe akipanga njama zozote za kuwadhuru wanachama wake? Acha akili ijiamulie la kusema siyo tumboAwe makini na usalama wake Mbowe anaweza kumpoteza
Huyu ni TISS. Kigogo2014 ameshatoa undani wake. Wala hampati mtuSaa hizi ndio tunamsubiria, Dr. Mayrose Majinge atiririke...
P
Shushu!Swali la 6 mtangazaji wa kike, nini sera zako?
Jibu: Huu sio wakati wa kutangaza sera, hapa nimetangaza nia tuu na sio sera, sera zitatangazwa na chama kupitia ilani ya uchaguzi ya Chadema.
P
Huyo Mayrose kama nakumbuka alikuwa na Kipindi StarTV au EATV kinaitwa Mayrose Show au sio huyu?