idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Mimi ndio naingia nakutana Mtulia nimechelewa.Hiyo baadae ilipofika, Studio akaingia Mtulia, Mbunge wa Kinondoni.
Nami nikahama station.
Nimeisha hapa, asante kufuatilia.
P
Mimi ndio naingia nakutana Mtulia nimechelewa.Hiyo baadae ilipofika, Studio akaingia Mtulia, Mbunge wa Kinondoni.
Nami nikahama station.
Nimeisha hapa, asante kufuatilia.
P
Dr Mayrose ni kama Mange tu hawawezi siasa,siasa inatakiwa uwe na Maneno mengi yanatoka mfululizo ila huyo Dada uandishi wa habari ndio unambeba lakini kwenye kuongea hamna kitu.Hiyo baadae ilipofika, Studio akaingia Mtulia, Mbunge wa Kinondoni.
Nami nikahama station.
Nimeisha hapa, asante kufuatilia.
P
Kigogo alitangaza mapema kwamba Mtulia anaumwa korona ila watu walimpinga sana kwamba ni Mzushi,Hata Egbert Mkoko altangaza anaumwa korona watu wakapinga sana ila baada ya mda wote walikiri kwamba walipata maambukizi ya korona na wamepona.Mimi ndio naingia nakutana Mtulia nimechelewa.
Hebu atupishe huko! Aje achuane na Lissu ataweza wapi?Dr Mayrose ni kama Mange tu hawawezi siasa,siasa inatakiwa uwe na Maneno mengi yanatoka mfululizo ila huyo Dada uhandisha wa habari ndio unambeba lakini kwenye kuongea hamna kitu.
MmmhAkiwa live kupitia line ya simu katika East Africa Radio mtia nia wa kugombea urais kupitia CHADEMA, Mayrose Majinge amesema yeye amejiunga Chadema toka mwaka 2013 hivyo sio mgeni ndani ya CHADEMA.
Pia ameahidi kuleta siasa safi na maendeleo makubwa ndani ya nchini.
Akijibu swali la mtangazaji la kwanini anaonekana anataka kugombea urais kupitia CHADEMA na huku hawajui viongozi wa Chadema je atapangaje baraza la mawaziri? Mayrose Majinge amejibu kuwa yeye hana muda wa kuclaim viongozi wa Chadema na urais ni taasisi hivyo baraza la mawaziri hilo litapangwa na taasisi ya urais na sio yeye peke yake.
Mambo yamepamba moto.
Yule mmiliki wa kampuni ya CHADEMA anazungumziaje hili swala
Na ndiyo maana tunasema ukishakuwa na akili za kiccm unakuwa kama chizi,au zuzu hivi,uliwahi kumsikia mbowe akipanga njama zozote za kuwadhuru wanachama wake? Acha akili ijiamulie la kusema siyo tumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio kanda tatizo Ni shabiki wa yangaMbona kavaa sale za Yanga au nae akihusika kuleta uhuru wa nchi yetu!!
Lakini pia jina lake kama wa kanda ya ziwa kama sikosei, je kwa chama chetu kuwa wa kanda ya ziwa anastahili kugombea urais?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasiasa Sijui wanatuonaje wananchi...mtangazaji angekuwa makini ilibidi atafute ahadi zake wakati wa kampeni ili ajibu vizuri.Kigogo alitangaza mapema kwamba Mtulia anaumwa korona ila watu walimpinga sana kwamba ni Mzushi,Hata Egbert Mkoko altangaza anaumwa korona watu wakapinga sana ila baada ya mda wote walikiri kwamba walipata maambukizi ya korona na wamepona.
Mtulia anakwambia hajatekeleza ahadi moja tu ya kuondoa "SKWATA" bonde la mkwajuni,kigogo na tandale basi na hilo hajatekeleza kwasababu mji umehamia Dodoma ila ahadi nyingine zote ametekeleza..
It's true, that session ya huyu dada was a waste due to watangazaji vilaza!. Mtangazaji wa kike amejitahidi sana, lakini yule wa kiume ni kiazi kabisa!. Sikui hivi vituo, vinawaokota wapi vilaza wa type hii!, wanatuharibia tasnia wote tunaonekana ni watu wa hovyo!.Kwa huu mtiririko nimeona watangazaji na mgeni wao wate wameboa vibaya sana...hasa watangazaji kwa kushindwa kuandaa maswali ya msingi.
Mbowe angekuwa wa ajabu ivyo usingekuwa humu unaongea umbeaAwe makini na usalama wake Mbowe anaweza kumpoteza