Kama Malecela ameona vyombo vya habari ni muhimu katika kutuma ujumbe wake, kwa nini anawakataza wengine kuvitumia hivyo hivyo vyombo vya habari kujisafisha??.
Hapa nimeona alitumwa kufanikisha mambo matatu yafuatayo;
- Kuvionya vyombo vya habari kuwa sasa viko karibu vitafungiwa kwa kuandika wasiyoyapenda wakuu.
- Badala yake wanataka, vyombo vya habari vimsaidie raisi (yaani vimpambe), na moja kati ya mapambo ni kuwa viwahabarishe wananchi na wafadhili kuwa tayari mafisadi wameshachukuliwa hatua na JK.
- Lakini kubwa zaidi ni kuwa Mzee Malecela pia alitumwa kumpiga mkwara Dr. Mwakyembe na wenzake (Prof. Mwandosya n.k) ambao inaelekea wana nia ya kumpinga Kikwete in 2010. Hili ameliweka wazi kwamba Kikwete atakuwepo hadi 2015 na akina Mwandosya ni vema tu wakatumia vipesa vyao kwengine maana hawataweza kupambana na BOT ya Kikwete.
mkuu analysis yako ina kaukweli haya hicho kipengele cha 3..