William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Ukiwa kiongozi jitahidi Sana kutoongozwa na hisia au chuki. Watu wa Mpira wanajua jinsi ya kumfanya mpinzani awe na hasira ili akose utulivu mchezoni.
Unamkumbuka beki kisiki Juma Nyoso au Forward Mkolofi Diego Costa.
Sio lazma ujibu au ulumbane kila kitu muda NI machache Sana. Ukipita sehemu ukaanza kutumia muda mwingi kuzungumzia ugonvi na tume unakosa nafasi muhimu kufafanua Sera yako ya maendeleo ya watu.
Watu wanataka Sera zitakazoinua Hali zao za maisha. Wafanye Kazi wapate malipo mazuri, mfumo wa Kodi uwe rafiki wanunue na bidhaa kwa Bei nzuri. Mi nilishangaa mzee moja miaka karibu sabini alivyombana gwajima kwa mifano dhahili kabisa juu ya Bei ya sukari kuwa Mara mbili bara kuliko Zanzibar.
Watu wanataka fedha wanayopokea itoshe kuwapatia Nyumba Bora, elimu Bora, Afya bora. UCHAGUZI sio Lele mama watu wanakuja kumsikiliza Sera sio kukushangaa.
Hayo mengine ya tume na wewe pambaneni kwa kifupi tu.
Tumia Lugha nyepesi Sana. Usitufundishe vifungu vya Sheria jukawaani. Sheria inaitaji fast learner kukuelewa.
Unamkumbuka beki kisiki Juma Nyoso au Forward Mkolofi Diego Costa.
Sio lazma ujibu au ulumbane kila kitu muda NI machache Sana. Ukipita sehemu ukaanza kutumia muda mwingi kuzungumzia ugonvi na tume unakosa nafasi muhimu kufafanua Sera yako ya maendeleo ya watu.
Watu wanataka Sera zitakazoinua Hali zao za maisha. Wafanye Kazi wapate malipo mazuri, mfumo wa Kodi uwe rafiki wanunue na bidhaa kwa Bei nzuri. Mi nilishangaa mzee moja miaka karibu sabini alivyombana gwajima kwa mifano dhahili kabisa juu ya Bei ya sukari kuwa Mara mbili bara kuliko Zanzibar.
Watu wanataka fedha wanayopokea itoshe kuwapatia Nyumba Bora, elimu Bora, Afya bora. UCHAGUZI sio Lele mama watu wanakuja kumsikiliza Sera sio kukushangaa.
Hayo mengine ya tume na wewe pambaneni kwa kifupi tu.
Tumia Lugha nyepesi Sana. Usitufundishe vifungu vya Sheria jukawaani. Sheria inaitaji fast learner kukuelewa.