ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,749
Usimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi.
Inabidi nijibu na hii sentence, well i ll pass.
Usimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi.
Muda NI mchache Sana adili na Sera haya malumbano yanawanyima watu fursa ya kuelewa Sera zakeUsimpangie mgombea mambo ya kusema,jambo la muhimu na havunji sheria,hakandamizi watu na hawagawi.
Mkuu,hawa mbona ni watoto? Hawa kweli ni wapiga kura? Nani anayefanya hivi kuwadhulumu haki ya kusoma,kucheza na kupumzika watoto hao?Hawa ndio hawaelewi mgombea wao anasema Sera ganiView attachment 1587432View attachment 1587433View attachment 1587434View attachment 1587435