Dr Bill
JF-Expert Member
- Aug 26, 2020
- 463
- 436
Dah Ivi CHADEMA INA WASOMI KWELI hahahh, Yani Mdeka Kweli kweli Maisha nia Kupambana Oooh Kaeni msubilie Lissu aje Awawekee Ugali Mezani Yanii Mnalalamika kila Sikh khaaa Ebu Kuweni Ngangali BanaHayo anayohubiri Lissu ndio wapiga kura wake tunataka kuyasikia, ndio maana tuko radhi tunyeshewe namvua huku tukimsubiri kama ilivyokuwa bunda, natuko radhi tupigwe mabomu ili tumsikilize kama ilivyokuwa Nyamongo. Pia tutamsubiri mpaka usiku ili tumuone muokozi wetu Kama ilivyokeo leo Moshi...