Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Dharau siyo zuri kabisa, narudia DHARAU SIYO ZURI KABISA.

Huwezi kujua utamu wa ngoma mpaka uingie kuicheza.

Huwezi kujua uchungu wa msiba ukiwa kwa jirani yako, mpaka ukikufikia miguuni mwako ndipo utaelewa.

Ni rahisi kusema jikaze wee acha kulia mbona hii ni kawaidaa, unaenda mbali zaidi eti mbona kuna watu wanapotelewaga na wazazi wao wote kwa mkupuo wewe mtoto/mke tu! Ndugu yangu nyamaza hujakua ukayaona.

Natamn apone ili ajue nini Watz tulikuwa tunamanishaaa. Yeah nini machozi yetu humanishaaa. Itoshe tu hapohapo.🙏
 
Aiseeeeee............
Mabeberu sio watu kabisa
Kwa habar nilizozipata CIA wapo nyuma ya kila kitu they know everythings
Tujiandae na vita tumechoka sasa
 
Ka Jiwe kasije kuwa kanacheza sinema ya Kim Jong Un!! Kim alijida amekufa wazungu wakaanza kutangaza ndivyo sivyo! Ipo siku Ka Jiwe kayatamka halafu mtakatambua kalivyo na shombo! Naomba nitangaze kukasamehe bure kwa yale kaliyonikosea! Nimekaonea huruma sana kumbe raia hawakapendi aiseee!!
 
Ka Kabudi nako katakuwa kanapiga jaramba sasa hivi na kuroga sana ili mama aje akachague kuwa ka makamu aiseee kama litatokea la kutokea!!
 
Back
Top Bottom