Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 14,589
- 21,433
Yupo MumbaiKuna ziara nyingine ukienda hurudi.
Yupo MumbaiKuna ziara nyingine ukienda hurudi.
Haaaaa!!!Unaweza kuta ndugulile ka log in kwenye page ya watu
Vyombo vya habari Kenya vina uhuru, mambo yake badilika Kenya tungeambiwa. Ponjori atapewa mpunga akae kimya.Kina ponjor lazima wapambane maana wanaamini aki recover mkulu watapata hata gas
Ila mkeka ukichanika haina jinsi watasema wenyewe bila hata ya bwana ponjorVyombo vya habari Kenya vina uhuru, mambo yangabadilika Kenya tungeambiwa. Ponjori atapewa mpunga akae kimya.
Huu sio UzalendoLissu alipwe hela za matibabu, kumbe viongozi wote wana haki ya kutibiwa Nairobi Hospital.
Hahahahha itabidi awe Kama Mrisho Mpoto asivae viatu Ili abalance urefuMhh watamkata miguu? Maana mzee ni shortii.
Acha KwanzaYupo Mumbai
Mungu Ni Mwema Wakati WoteMheshimiwa vip kwani.!?? Leo watu mnataka kumsikia au vip.!?
Aiseeeeee............
Mabeberu sio watu kabisa
Kwa habar nilizozipata CIA wapo nyuma ya kila kitu they know everythings
Tujiandae na vita tumechoka sasa
China itatusaidia usiogope wwAh wacha bhna