Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,565
- 15,920
Nimesikitishwa sana na kitendo cha ACT kumteua Benard Membe kuwania urais JMT.
Huu naweza kuuita ubinafsi japo bado sijafahamu kama kutakua na makubaliano ya kumsimamisha mgombea mmoja kwa vyama vyote vya upinzani kwaniaba.
Ni kweli Membe ni mgombea potential kwa ACT wazalendo (japo mie siungi mkono hoja hii). Hili ni kosa ambalo lilifanywa na chadema mwaka 2015 ambao walimteua Edward lowassa lakini akaja kuwageuka mbeleni baada ya kuukosa urais. We learn through experience. Kama ACT wazalendo hamkujifunza hili kwa chadema basi ni either wabinafsi ama mna shinikizo kutoka upande wa pili.
Ushauri wangu.kwa sasa Tanzania nzima na dunia inajua Tundu Tundu lisu ndio kiongozi pekee wa upinzani ambae anaweza kupambana na ccm na akaiishinda.hili hata magufuli analijua ( refers hotuba zake za hivi karibuni).
Tafadhali Zitto angalieni namna ya kumsimamisha mgombea mmoja kwa urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania nae awe ni Tundu Lissu. Nawahakikishia mtafanikiwa lakini mkiuvunja umoja wenu hamtafanikiwa.
Kila la kheri!
Huu naweza kuuita ubinafsi japo bado sijafahamu kama kutakua na makubaliano ya kumsimamisha mgombea mmoja kwa vyama vyote vya upinzani kwaniaba.
Ni kweli Membe ni mgombea potential kwa ACT wazalendo (japo mie siungi mkono hoja hii). Hili ni kosa ambalo lilifanywa na chadema mwaka 2015 ambao walimteua Edward lowassa lakini akaja kuwageuka mbeleni baada ya kuukosa urais. We learn through experience. Kama ACT wazalendo hamkujifunza hili kwa chadema basi ni either wabinafsi ama mna shinikizo kutoka upande wa pili.
Ushauri wangu.kwa sasa Tanzania nzima na dunia inajua Tundu Tundu lisu ndio kiongozi pekee wa upinzani ambae anaweza kupambana na ccm na akaiishinda.hili hata magufuli analijua ( refers hotuba zake za hivi karibuni).
Tafadhali Zitto angalieni namna ya kumsimamisha mgombea mmoja kwa urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania nae awe ni Tundu Lissu. Nawahakikishia mtafanikiwa lakini mkiuvunja umoja wenu hamtafanikiwa.
Kila la kheri!