Anasema chama cha siasa kisichokukwa na majadiliano ni chama mfu. Lissu anasema yeye na Mbowe ni watu wawili tofauti ambao wanaweza na iko hivyo kuwa na mtazamo tofauti juu ya kitu kimoja. Na hiyo ndiyo AFYA/UHAI ya chama cha sisasa. Anasema haijawahi kutokea kusuguana /kuzozanana Mbowe
My Take! Chama kama CCM ni chama mfu maana hakuna majadiliano ya kweli. Ila kwa vile Samia anagawa "ulaji" kila mmoja anaangalia midomo ya Samia inacheza vipi na kila mmoja anafuatisha humo humo, maana ukimpinga kesho huna "uwaziri" for that matter.
Mfano, chama chenye majadiliano, Bashite asingelipewa nafasi aliyo nayo.
Ni chama mfu vile vile kwavile kinatumia DOLA kubaki madarakani kama alivyosema Bashiru, former SG.
My Take! Chama kama CCM ni chama mfu maana hakuna majadiliano ya kweli. Ila kwa vile Samia anagawa "ulaji" kila mmoja anaangalia midomo ya Samia inacheza vipi na kila mmoja anafuatisha humo humo, maana ukimpinga kesho huna "uwaziri" for that matter.
Mfano, chama chenye majadiliano, Bashite asingelipewa nafasi aliyo nayo.
Ni chama mfu vile vile kwavile kinatumia DOLA kubaki madarakani kama alivyosema Bashiru, former SG.