Lissu: Huko mbele ni kugumu, lakini ni lazima twende

View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Nimeona sehemu nyingi bendera mpya za CCM kwenye nyumba za mabalozi wa nyumba kumi kumi ndiyo kusema CCM inafufuka.
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Kwani huyu mtu yeye anatufuta Nini mbona kila siku chochoko nchi ukiwa imetulia. Au anataka achonganishe tena ili akimbie kwa mme wake amsterdam
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?

Well said,
wenye Maono wanaelewa.
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Lazima tufike.........Bold Statement from Man of People, Man of God Tundu Antiphas Lissu
 
Back
Top Bottom