Ni lazima sasa Tundu Lissu afike Jimbo la Kyela

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,282
JamiiForums1327454580.jpg


Pamoja na Ukweli kwamba Jimbo la Kyela ni sehemu ya ngome imara za Chadema kwenye Mkoa wa Mbeya ikiwemo pia Kanda ya Nyasa , lakini mara zote Jimbo hili husahauliwa kwenye ziara muhimu za Viongozi wa Kitaifa , naandika haya nikiwa Mkazi wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , njia kuu kuelekea Itungi Port , kwahiyo naandika nikiwa na ushahidi wa kutosha .

Kyela ni mwisho wa nchi , hakuna barabara kuu ya viongozi kupita kuelekea kwingine , kwamba labda na sisi wanaKyela tuwazuie njiani na kuwalazimisha watuhutubie kama wafanyavyo majimbo mengine , Kiongozi anayekuja KYELA ni lazima apange safari ya Kuja Kyela moja kwa moja , ni lazima viongozi wa Kanda ya Nyasa wamwelekeze kwamba , TUKIFIKA UYOLE HEBU KATA KUSHOTO UENDE UKAHUTUBIE WANANCHI WA KYELA .

Viongozi wa Kanda ya Nyasa ni lazima safari hii Tundu Lissi akanyage Kyela , Afike Katumbasongwe , Ngonga , Ikolo , afike mpaka Ikato lya Nyerere , Bujonde , kajunjumele , Ipyana na Kwingineko , Tunataka Lissu afike Boda , ambako Bendera 5 za mwanzo unazoziona zinapepea ukitokea Malawi , zote ni Bendera za Chadema , sisi Kyela tulishaiua ccm kitambo sana , sasa hivi ni kama tunapambana na Polisi tu .

Labda kwa Taarifa tu ni kwamba CHADEMA KYELA ndio imemstaafisha siasa Mwakyembe , huyu hatukumpa muda wa kufurukuta , tuliziba njia zake zote , ilifika wakati Mwakyembe aliogopa hata kuitisha mikutano ya hadhara kwa hofu ya kuzomewa , yale mambo yao ya " ALILE KAKO " Ilikuwa nyongeza tu , ni lazima sasa viongozi wa Kitaifa wafahamu kazi kubwa tuliyoifanya ya kuua ccm Kyela kwa KUITAMBUA .

Mungu ibariki Chadema

Naomba kuwasilisha .

NAKALA : Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula , Sugu , China , Peter Msgwa , Tundu Lissu , Gwamaka Mbughi , John Mwambigija
 
View attachment 2512713

Pamoja na Ukweli kwamba Jimbo la Kyela ni sehemu ya ngome imara za Chadema kwenye Mkoa wa Mbeya ikiwemo pia Kanda ya Nyasa , lakini mara zote Jimbo hili husahauliwa kwenye ziara muhimu za Viongozi wa Kitaifa , naandika haya nikiwa Mkazi wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , njia kuu kuelekea Itungi Port , kwahiyo naandika nikiwa na ushahidi wa kutosha .

Kyela ni mwisho wa nchi , hakuna barabara kuu ya viongozi kupita kuelekea kwingine , kwamba labda na sisi wanaKyela tuwazuie njiani na kuwalazimisha watuhutubie kama wafanyavyo majimbo mengine , Kiongozi anayekuja KYELA ni lazima apange safari ya Kuja Kyela moja kwa moja , ni lazima viongozi wa Kanda ya Nyasa wamwelekeze kwamba , TUKIFIKA UYOLE HEBU KATA KUSHOTO UENDE UKAHUTUBIE WANANCHI WA KYELA .

Viongozi wa Kanda ya Nyasa ni lazima safari hii Tundu Lissi akanyage Kyela , Afike Katumbasongwe , Ngonga , Ikolo , afike mpaka Ikato lya Nyerere , Bujonde , kajunjumele , Ipyana na Kwingineko , Tunataka Lissu afike Boda , ambako Bendera 5 za mwanzo unazoziona zinapepea ukitokea Malawi , zote ni Bendera za Chadema , sisi Kyela tulishaiua ccm kitambo sana , sasa hivi ni kama tunapambana na Polisi tu .

Labda kwa Taarifa tu ni kwamba CHADEMA KYELA ndio imemstaafisha siasa Mwakyembe , huyu hatukumpa muda wa kufurukuta , tuliziba njia zake zote , ilifika wakati Mwakyembe aliogopa hata kuitisha mikutano ya hadhara kwa hofu ya kuzomewa , yale mambo yao ya " ALILE KAKO " Ilikuwa nyongeza tu , ni lazima sasa viongozi wa Kitaifa wafahamu kazi kubwa tuliyoifanya ya kuua ccm Kyela kwa KUITAMBUA .

Mungu ibariki Chadema

Naomba kuwasilisha .

NAKALA : Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Ntawapokea kwa kishindo Ngonga mkuu.
 
View attachment 2512713

Pamoja na Ukweli kwamba Jimbo la Kyela ni sehemu ya ngome imara za Chadema kwenye Mkoa wa Mbeya ikiwemo pia Kanda ya Nyasa , lakini mara zote Jimbo hili husahauliwa kwenye ziara muhimu za Viongozi wa Kitaifa , naandika haya nikiwa Mkazi wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , njia kuu kuelekea Itungi Port , kwahiyo naandika nikiwa na ushahidi wa kutosha .

Kyela ni mwisho wa nchi , hakuna barabara kuu ya viongozi kupita kuelekea kwingine , kwamba labda na sisi wanaKyela tuwazuie njiani na kuwalazimisha watuhutubie kama wafanyavyo majimbo mengine , Kiongozi anayekuja KYELA ni lazima apange safari ya Kuja Kyela moja kwa moja , ni lazima viongozi wa Kanda ya Nyasa wamwelekeze kwamba , TUKIFIKA UYOLE HEBU KATA KUSHOTO UENDE UKAHUTUBIE WANANCHI WA KYELA .

Viongozi wa Kanda ya Nyasa ni lazima safari hii Tundu Lissi akanyage Kyela , Afike Katumbasongwe , Ngonga , Ikolo , afike mpaka Ikato lya Nyerere , Bujonde , kajunjumele , Ipyana na Kwingineko , Tunataka Lissu afike Boda , ambako Bendera 5 za mwanzo unazoziona zinapepea ukitokea Malawi , zote ni Bendera za Chadema , sisi Kyela tulishaiua ccm kitambo sana , sasa hivi ni kama tunapambana na Polisi tu .

Labda kwa Taarifa tu ni kwamba CHADEMA KYELA ndio imemstaafisha siasa Mwakyembe , huyu hatukumpa muda wa kufurukuta , tuliziba njia zake zote , ilifika wakati Mwakyembe aliogopa hata kuitisha mikutano ya hadhara kwa hofu ya kuzomewa , yale mambo yao ya " ALILE KAKO " Ilikuwa nyongeza tu , ni lazima sasa viongozi wa Kitaifa wafahamu kazi kubwa tuliyoifanya ya kuua ccm Kyela kwa KUITAMBUA .

Mungu ibariki Chadema

Naomba kuwasilisha .

NAKALA : Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula , Sugu , China , Peter Msgwa , Tundu Lissu , Gwamaka Mbughi , John Mwambigija
Tundu Lissu sikia kilio cha wapendwa wako hawa
 
View attachment 2512713

Pamoja na Ukweli kwamba Jimbo la Kyela ni sehemu ya ngome imara za Chadema kwenye Mkoa wa Mbeya ikiwemo pia Kanda ya Nyasa , lakini mara zote Jimbo hili husahauliwa kwenye ziara muhimu za Viongozi wa Kitaifa , naandika haya nikiwa Mkazi wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , njia kuu kuelekea Itungi Port , kwahiyo naandika nikiwa na ushahidi wa kutosha .

Kyela ni mwisho wa nchi , hakuna barabara kuu ya viongozi kupita kuelekea kwingine , kwamba labda na sisi wanaKyela tuwazuie njiani na kuwalazimisha watuhutubie kama wafanyavyo majimbo mengine , Kiongozi anayekuja KYELA ni lazima apange safari ya Kuja Kyela moja kwa moja , ni lazima viongozi wa Kanda ya Nyasa wamwelekeze kwamba , TUKIFIKA UYOLE HEBU KATA KUSHOTO UENDE UKAHUTUBIE WANANCHI WA KYELA .

Viongozi wa Kanda ya Nyasa ni lazima safari hii Tundu Lissi akanyage Kyela , Afike Katumbasongwe , Ngonga , Ikolo , afike mpaka Ikato lya Nyerere , Bujonde , kajunjumele , Ipyana na Kwingineko , Tunataka Lissu afike Boda , ambako Bendera 5 za mwanzo unazoziona zinapepea ukitokea Malawi , zote ni Bendera za Chadema , sisi Kyela tulishaiua ccm kitambo sana , sasa hivi ni kama tunapambana na Polisi tu .

Labda kwa Taarifa tu ni kwamba CHADEMA KYELA ndio imemstaafisha siasa Mwakyembe , huyu hatukumpa muda wa kufurukuta , tuliziba njia zake zote , ilifika wakati Mwakyembe aliogopa hata kuitisha mikutano ya hadhara kwa hofu ya kuzomewa , yale mambo yao ya " ALILE KAKO " Ilikuwa nyongeza tu , ni lazima sasa viongozi wa Kitaifa wafahamu kazi kubwa tuliyoifanya ya kuua ccm Kyela kwa KUITAMBUA .

Mungu ibariki Chadema

Naomba kuwasilisha .

NAKALA : Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula , Sugu , China , Peter Msgwa , Tundu Lissu , Gwamaka Mbughi , John Mwambigija
Hapo Kyela Chadema ilikuwa moto enzi za Akina Kennedy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom