Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,859
- 95,026
Sijui kama unajiewaMuulize Lissu ndo alisema hiyo kauli.
Sijui kama unajiewaMuulize Lissu ndo alisema hiyo kauli.
Fafanua kidogo nduguKiza kinene; Majaliwa tayari keshaunguza picha huko.
Hahahahha lodi lofa. Anamuogopa comrade mbowe. Hiki kikundi cha wahuni kinatakiwa kifutweee kabisa kwenye ramani.View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Ukimya wa Chadema haujawahi kuwa wa kibwege
Baada ya mama kuonja asali ya madaraka anaweza hata kuua kuliko waliopita ogopa kitu kinachoitwa mwanamke duniani.Amina CCM WAKO TIYARI KWA LOLOTE ILA SI KUACHIA MADARAKA
Nakukumbusha pia hiyo hiyo biashara ya mbowe familia ndio iliweza kumnunulia suti nyerere,hiyo hiyo biashara ndio ilimwezesha kununuliwa tickets ya ndege kwenda UN.Mbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
HakikaNakukumbusha pia hiyo hiyo biashara ya mbowe familia ndio iliweza kumnunulia suti nyerere,hiyo hiyo biashara ndio ilimwezesha kununuliwa tickets ya ndege kwenda UN.
😂😂😂😂Nakukumbusha pia hiyo hiyo biashara ya mbowe familia ndio iliweza kumnunulia suti nyerere,hiyo hiyo biashara ndio ilimwezesha kununuliwa tickets ya ndege kwenda UN.
Unabisha?😂😂😂😂
Bavicha mna story sana!
Bar ya mzee Komakoma pale Mwananyamala ilikuwa Kubwa kuliko huo Uwekezaji wa Aikael 😂Unabisha ?
Ccm itashindwa vibaya uchaguzi ukifanyika, na sasa wataweza kuja na kama ya Jecha Zanzibar ,wananchi walivyo choka ccm wakija nayo nini kitatokea? Kama sio kugawana mbao,View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Kabisa yaani !Ccm itashindwa vibaya uchaguzi ukifanyika, na sasa wataweza kuja na kama ya Jecha Zanzibar ,wananchi walivyo choka ccm wakija nayo nini kitatokea? Kama sio kugawana mbao,
Tunaweza kuja kuwa na Marais wawili kila mmoja akiaapa kwa mda tofauti, hili mwendazake pia aliangalia thats akapora mchakato mzima wa uchaguzi
Mbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
Mbowe atauza nchi yenyewe na Watu waliomo!..Mama anauza bandari, mbuga, na rasilimali za Tanganyika. Ni mfanyabiashara.
Mpaka wewe?Mbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
Mbowe atauza nchi yenyewe na Watu waliomo!