Lissu: Huko mbele ni kugumu, lakini ni lazima twende

Kishindo Cha wakoma ,kiliwakimbiza washami, kishindo Cha wakoma kiliwakimbiza washami.
Walipokabiliwa na njaa wakoma waliotengwa ,wakasema twende tuombe chakula ,tuombe Kwa maadui zetu washami.Ingawa tunaweza kuuwawa lakini twende kambi ya washami.....

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kifupi Lissu amesha nyoosha mikono aiseee sasa itakuwaje?
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Hahahahha lodi lofa. Anamuogopa comrade mbowe. Hiki kikundi cha wahuni kinatakiwa kifutweee kabisa kwenye ramani.
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?
Ccm itashindwa vibaya uchaguzi ukifanyika, na sasa wataweza kuja na kama ya Jecha Zanzibar ,wananchi walivyo choka ccm wakija nayo nini kitatokea? Kama sio kugawana mbao,

Tunaweza kuja kuwa na Marais wawili kila mmoja akiaapa kwa mda tofauti, hili mwendazake pia aliangalia thats akapora mchakato mzima wa uchaguzi
 
Ccm itashindwa vibaya uchaguzi ukifanyika, na sasa wataweza kuja na kama ya Jecha Zanzibar ,wananchi walivyo choka ccm wakija nayo nini kitatokea? Kama sio kugawana mbao,

Tunaweza kuja kuwa na Marais wawili kila mmoja akiaapa kwa mda tofauti, hili mwendazake pia aliangalia thats akapora mchakato mzima wa uchaguzi
Kabisa yaani !
 
Back
Top Bottom