Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,371
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE, TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA, NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu.
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua, unadhani huko mbele nini kitatokea?