Lissu amtetea Rais Samia kupanda kwa gharama za maisha

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali haukusababishwa na Rais Samia hivyo asilaumiwe Samia bali wa kulaumiwa ni Katiba mbovu ya tuliyonayo sasa.

1674719641560.jpeg
 
Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali haukusababishwa na Rais Samia hivyo asilaumiwe Samia bali wa kulaumiwa ni Katiba mbovu ya tuliyonayo sasa.

View attachment 2495982
Lissu muogope Mungu bei ya mchele imepanda kwa sababu ya Katiba? kwani Katiba ndio imeanza kutumika leo?
 
Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali haukusababishwa na Rais Samia hivyo asilaumiwe Samia bali wa kulaumiwa ni Katiba mbovu ya tuliyonayo sasa.

View attachment 2495982
Kwani katiba ndio imefungua mipaka kwa Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao?

Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu?

Je!
Katiba ikiwa mpya na mazao yataota bila Pembejeo kuwekwa kwenye ardhi kurutubisha mazao?

Katiba mpya ni hitaji muhimu kwa wasaka madaraka ya kisiasa!

Hii ingine ni blah..blah....
 
Kwani katiba ndio imefungua mipaka kwa Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao?

Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu?

Je!
Katiba ikiwa mpya na mazao yataota bila Pembejeo kuwekwa kwenye ardhi kurutubisha mazao?

Katiba mpya ni hitaji muhimu kwa wasaka madaraka ya kisiasa!

Hii ingine ni blah..blah....
Katiba ndiyo inampa Rais mamlaka ya umungumtu.
 
Ndiyo tatizo la kusoma kichwa cha habari na ukakifanyia hitimisho bila kusoma habari nzima,vichwa vingine vya habari viko kimkakati zaidi kuvutia wasomaji au kulenga kumpa mtu jina baya.
inamaana wamsingizia?
 
Huwezi kuitenganisha serikali ya Samia na kupanda kwa gharama za maisha, kama ni tozo wameziweka wao, mikopo ya kila siku wanayokopa na kulipa wameiweka wao, na mipango yao mingi serikalini haieleweki, na hayupo wa kuwasimamia mawaziri wanapokosea, wameachwa wao ndio wawe marais wa wizara zao.

Huku Bashe anatuambia ametoa mahindi kwenye maghala yakapunguze mfumuko wa bei, lakini bado serikali hiyo hiyo inaendelea kuuza chakula nje..

Hii maana yake kama chakula kitaendelea kuuzwa nje, basi hakuna namna chakula kinachotolewa kwenye maghala kitakuja kupunguza tatizo, kwasababu bado patakuwepo na upungufu wa chakula matokeo yake bei zitaendelea kuwa juu..
 
Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali haukusababishwa na Rais Samia hivyo asilaumiwe Samia bali wa kulaumiwa ni Katiba mbovu ya tuliyonayo sasa.

View attachment 2495982
Acheni uongo mbona alisema Tozo sio za mwigulu ila ni sababu ya maagizo ya Samia!! Hata bando na mengineyo mzigo wote aliuweka kwa Samia na kusema chanzo Cha Samia kufanya hayo yote ni sababu ya katiba kumfanya kuwa mungu.

Kama sio kichwa Cha habari kueditiwa basi vyombo vyetu vya habari havina uweledi kabisa.
 
Kasemaje Ad verbatim....

Sababu anaweza akawa ana roho nzuri (hana roho mbaya) ila kazi hawezi
 
Kwani katiba ndio imefungua mipaka kwa Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao?

Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu?

Je!
Katiba ikiwa mpya na mazao yataota bila Pembejeo kuwekwa kwenye ardhi kurutubisha mazao?

Katiba mpya ni hitaji muhimu kwa wasaka madaraka ya kisiasa!

Hii ingine ni blah..blah....
Umelima hekari ngapi kwanza wewe katika masika hii?.Mamako na babako hawajalima ili wakugawiye chakula bure?.

 
Back
Top Bottom