Huenda Kuna watu wanapanga kumwangusha Rais Samia na CCM yake kwani baada ya nauli kupanda kwa 43% sasa gharama za kumwona daktari zapanda kwa 400%

Wafalme 18

Senior Member
Sep 17, 2023
121
126
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Hali inazidi kuwa ngumu gap linazid haswa..
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Usisingizie watu bana. Waliopo wanacheza na mdundo wa chifu mwenyewe. Wewe chifu kasema kuleni kwa urefu wa kamba zenu unategemea Nini. Anajiangusha mwenyewe na si watu. Sijawahi kumkubaki sitamkubali kamwe na wa hovyo kuwahi kutokea tangu tupate uhuru
 
Yaani nauli ya singida imepanda kutoka elf 25 hadi elf 46, karibia ongezeko la asilimia mia moja.......mbona ni kama kuna uhuni unafanyika hapa, aiseee!
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Kwani yeye haoni Hadi useme wanataka kumwangusha? Kwani nini asiweke watu wake kwenye system?

Harafu hakuna anaeweza kupandisha gharama kienyeji kama hiyo sheria sio ya Bunge.
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Duu tutaenda Burundi sasa
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Mbna kama kichwa cha habari na kilichopo ndani haviendani .... Uyo daktari anaelezea kuhush Maboresho ya Kititcha cha mafao cha NHIF lakini habari inahusu nauli kupanda .... 🤣🤣🤣 ... hii nchi sihami
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Wewe gharama ya kumwona daktari haijapanda acha uongo .... gharama zimeshushewa kutoka 35,000 mpaka 20,000 ... apo ni kupanda au kushuka ...
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Kuja na fact sio utudanganye watanzania kuwa gharama ya kuona daktari imepanda toka 5000 hadi 25,000. Hiyo iko kwenye
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,


View: https://www.instagram.com/reel/C1G_IIwiuIZ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Haraka kwenye mada, mambo ni mengi,

Juzi nilisafiri kutoka Dar-Mpaka Singida kwa nauli ya TZS 46,000 kutoka TZS 25,000 iliyokuwepo,

Malalamiko ya raia ni mengi kuhusu upandaji wa nauli na huenda yakafika mpaka 2024 na 2025 kwani ni karibu mno,

Leo tena naona Wizara ya Afya imepandisha gharama z kumwona daktari kutoka TZS 5,000 hadi TZS 25,000,

Nadhani kuna haja ya waliojirani na Mhe Rais kumtonya hili kwamba Kuna watu wanamkakati wa kukiangusha chama Cha Mapinduzi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2024 na ule wa 2025.


Mimi kama kada wa CCM napinga mambo haya ya kuwapandishia gharama za maisha hawa masikini wanyonge.


Kidumu Cha Mapinduzi,

Kizuri ni kwamba saivi madaktari wanapata kiasi wanachostahili kupata ... gharama za matibabu ni kubwa ila wanachopeqa madaktari ni ndogo sana kulingana na taaluma yao.
 
Tatizo ni bando Hadi watu wanashindwa kusikiliza kilichosemwa.

Alichosema Daktari Kisenge ni kwamba, zamani watu walilipwa kutokana na walipo na siyo kwa taaluma zao.

Ilikuwa ukiwa nje Dar iwe mkoani au wilayani au kituo cha Afya hata ukiwa Daktari bingwa mbobezi, utalipwa kwa kiwango cha Mahali ulipo.

Sasa utalipwa Kwa kufuata taaluma yako na siyo hiyo taaluma unaitumia ukiwa wapi!!

Kama ukiwa Muhimbili unalipwa 25,000 kama gharama ya kumuona daktari, basi utalipwa hivyo hivyo hata ukiwa unatoa huduma hiyo kwenye kituo cha Afya Nanyamba.
 
Hapa hatuna..raisi tuna kiongozi kutoka zanzbar kaja kutufanya watumwa huku bara..nawala hawaz ata amke kesho mmekufa wote yekwake fresh..mradi ndugu zake zenji
Wapo gud
 
Siku hizi Ile kauli ya ANAUPIGA MWINGI siisikii Tena.
Hii miaka miwili Mambo Ni hivi ..........desh deshdesh
 
Tatizo ya serikali yetu Kuna makundi yanashindana na baadhi ya viongoz wanakomohana hasa kwa huyu mzanzibar wanamkomowa ili jamii imuone afai kitu ambacho sio fair kabisa urasi au uwongoz utoki kwa mtu unatoka kwa mungu, mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
 
Back
Top Bottom