figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Wenzetu, huwa wanajaza mchanga maalimu sehemu zenyw mtelemko mkali au kona kali ili gari ikishindwa kukata kona au ikifeli breli iweze kuegeshwa hapo.
Mara nyingi Tanzania sehemu zenye kona wanawka mawe au vyuma(Guardrail).
Kwanini tusiweke Mchanga maalumu wa kuzuia ajali, uharibifu na vifo?
Tujenge barabara salama.
Runaway Truck Ramp ilivyo msave dereva. Asingepona..
Mara nyingi Tanzania sehemu zenye kona wanawka mawe au vyuma(Guardrail).
Kwanini tusiweke Mchanga maalumu wa kuzuia ajali, uharibifu na vifo?
Tujenge barabara salama.
Runaway Truck Ramp ilivyo msave dereva. Asingepona..