Linganisha Delegation ya Botswana na ya Tanzania kwenye kuapishwa Rais Mteule wa Zambia

Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.

Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic

View attachment 1905090

View attachment 1905091
Mimi naona ni vizuri CCM wamekwenda kwa wingi kushuhudia mpinzani HH amechukua nchi kwa sababu tunajua karma is a .........it will happen in Tz one day
 
Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.

Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic

View attachment 1905090

View attachment 1905091
Wao CCM ndio waliokuna vichwa mpaka wakabuni na kufanikisha TOZO wacha wazifaidi, mchumia juani hulia kivulini. Sisi uchumi tulikwisha paa tuko matawi ya juu hauwezi ukatufananisha na wafuga ng'ombe, CCM MBELE KWA MBELE wacha wajue hii nchi ina wenyewe na wenyewe ni CCM.
 
Wakuu inasikitisha Sana!

Imagine Rais Samia anaondoka na jopo lote Lile, cha kushangaza wote ni makada wa chama pendwa bila kuwa hata na chembe ya mchanganyiko wa kiongozi mmoja toka chama pinzani chochote kile!

Hii Ni aibu kubwa sana, na inatoa picha kwa mataifa ya nje kuwa Tanzania hawapendani, hawana mshikamano, wamejawa unafiki wakitangaza Kuna amani kumbe mioyoni mwao Hamna amani. Ni roho za korosho!

Viongozi wa Taifa hili, mjirekebishe, jifunzeni kwa mataifa mengine ambao wameambatana na viongozi wa Vyama pinzani, mathalani Botswana!

Kwani wamepungukiwa Nini? Wamekufa?

# Acheni ubinafsi

IMG_20210824_120810.jpg
 
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246


View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Lakini kwa kweli sasa tunaanza kuishiwa hoja.Ujumbe wa uwakikishi kila nchi inaamua kivyake na siyo swala la kuzua mjadala.Ndiyo maana tunasema huenda mpaka ikifika 2024 CHADEMA itabakiwa na makapi matupu maana yake hata mambo wanayoongea kwa sasa ukiwasikiliza unajiuiza hawa wako hai au wameshaondoka katika dunia hii siku nyingi.
 
Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.

Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic

View attachment 1905090
View attachment 1905091
Ni aibu sana Chama hatari na cha kipumbavu kama CCM kwenda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais kwenye Taifa la kidemokrasia, CCM wanatakiwa kwenda Afghanistan au Mynmar kwa watu wanaofanana nao tabia
 
Unapeleka Makada?
Wenzetu Botswana kuna na KIONGOZI WA UPINZANI kwene msafara.
Lakini kwa Tanzania Kiongozi Upinzani yuko korokoroni na ana KESI YA UHAINI ya kutengexwa ili kummaliza Mbowe!!!!Hii nji ina LAANA YA CCM kwa kweeri!
 
Hapo Naona and Senior Government Officials

Sasa hao ni wangapi wanaweza wakawa wawili, au wanaweza wakawa 200.
Umenikumbusha AFCON 2019 Cairo, wakati Senegal wakiwabeba wachezaji wao Nguli wa soka kina Diof, Camara, Diop na wengine kuisindikiza timu yao ili kuipa hamasa na ushauri wa kisoka timu yao, TFF na kamati ya ushindi wakamchukua Pierre Liquid mtu asiyejua lolote kuhusu soka! Hiyo ndio delegation ya Rais na wazee wa Ndiyoo! #MbowesioGaidi
 
Umenikumbusha AFCON 2019 Cairo, wakati Senegal wakiwabeba wachezaji wao Nguli wa soka kina Diof, Camara, Diop na wengine kuisindikiza timu yao ili kuipa hamasa na ushauri wa kisoka timu yao, TFF na kamati ya ushindi wakamchukua Pierre Liquid mtu asiyejua lolote kuhusu soka! Hiyo ndio delegation ya Rais na wazee wa Ndiyoo! #MbowesioGaidi
Tuna utawala wa hovyo kabisa kuwahi kutokea
 
Aisee yaani jamaa kakurahisishia umeshindwa kufanya analysis. Hakuna mtu amepinga Shaka na WANEC wenzake kwenda huko Zambezia river bali amekwambia uangalie tofauti ya delegation.

Gaborone huko amekua included kiongozi wa upinzani, kwetu ni chama tawala tupu (utamaduni wetu) still hata ukiangalia aliyeshinda Zambia si chama chao tawala na ni upinzani na ni chama hata tusichonacho urafiki na chama chetu tawala. Si miongoni mwa vyama rafiki /vya ukombozi kusini mwa Afrika.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
MKUU TULIPOFIKIA NI PABAYA SANA. Tanzania ya leo umimi, ubinafsi, ukanda na uvyama umetamalaki. Haikutegemewa kwa Tanzania kunaweza kuwa na magaidi, wasiojulikana n.k. Tuna muda wa kujirekebisha, TUJIREKEBISHE
 
Duh kumbe?
Ndiyo hivyo. Hata askari wa majeshi yetu ni government officials but they are not civil servants, they are millitary servants. Hata wabunge na madiwani wa vyama vya upinzani ni government officials.
 
Ndiyo hivyo. Hata askari wa majeshi yetu ni government officials but they are not civil servants, they are millitary servants. Hata wabunge na madiwani wa vyama vya upinzani ni government officials.
Hahahaa hahahahahaa hahahahahaa
 
Back
Top Bottom