secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Mimi naona ni vizuri CCM wamekwenda kwa wingi kushuhudia mpinzani HH amechukua nchi kwa sababu tunajua karma is a .........it will happen in Tz one dayWakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.
Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic
View attachment 1905090
View attachment 1905091