Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,397
Wengi wao wana shauku ya kupanda ndege mpya.Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.
Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic
View attachment 1905090
View attachment 1905091
Watapenda kuionja ndege maana hayati Magufuli alikuwa hapendi ujinga huo wa matumizi mabaya ya fedha za serikali.
Sasa mafuta ya hizo ndege nani alipia?
Raisi si angemtuma makamu au waziri mkuu na ujumbe wa watu wachache, kuonyesha bado tunajali?
Maana nae JK yupo Comoro na hizi zingine nazo zazunguruka nchi nzima, huku watu wakiwa kama wamewehuka hivi.
Hatufahamu yake matumizi ya hizi ndege bila kujulikana "unofficially", maana yawezekana watu wanakula maili za kutosha ili wamkomoe yule alielala.
It's unconceivable!!