Lindi na Mtwara wameshalipiza kisasi

Lindi na Mtwara wameshalipiza kisasi

vuta nikuvute ukisema lindi na mtwara wamelipiza kisasi utasemaje dodoma ambako tumezoa kura na arusha tumewapoka Chadema baadhi ya viti na manyara na kwingineko kwiingi ambako tumeshinda kwa kishindo??? wale wana mtwara ni cuf asilia ndio maana chadema hawatii pua pale na nikuhakikishie tu kuwa mwakani utashika mdomo kwa sapraizi ya mwak kwani hawahawa unaodai wamelipiza kisasi ndio hawahawa watakaowageuka na kutupigia sisi kura

ungejua vijana mtwara walivyopania kuondoa mdudu ccm
 
Mtwara Mini matokeo!

Mitaa 100 CCM wapita bila kupingwa!
CCM wameshinda Mitaa 58
Wapinzani mitaa 58!

Tupa Tupa acha kuwadanganya wenzio!
 
Matokeo Arusha
CCM 78-CHADEMA 75 sasa kwa matokea haya labda tuseme Arusha wapakatwa na CCM.
 
Mnanishangaza Sana . AU mmepewA limBwata na ccM. ?

Kwani nchi hii mbona umaskini huko mikoa mingi tuu? shinyanga ,Singida!....
Mtwara Matokeo!

CCM wameshinda mitaa 58
Wapinzani mitaa 53!

ikumbukwe kwamba Mitaa 100 CCM walipita bila kupingwa!

Kama mlitumia kigezo cha umaskini kutaka kuwadanya watakuwa wamewashitukia maana nchi hii umaskini huko mikoa mingi kwanza sasa hivi Mtwara kuna maendeleo sana!

Poleni sana
 
Mtwara Mini matokeo!

Mitaa 100 CCM wapita bila kupingwa!
CCM wameshinda Mitaa 58
Wapinzani mitaa 58!

Tupa Tupa acha kuwadanganya wenzio!

Tupa Tupa ndio mwanaccm pekee anayeletaga JF habari za kweli za Ccm hata kama ni chungu kiasi gani. Credibility yake ni kubwa sana hapa jamvini.
 
Tupa Tupa ndio mwanaccm pekee anayeletaga JF habari za kweli za Ccm hata kama ni chungu kiasi gani. Credibility yake ni kubwa sana hapa jamvini.

Ebu rudia tena,umesema anaetaga?
 
Kwani nchi hii mbona umaskini huko mikoa mingi tuu? shinyanga ,Singida!....
Mtwara Matokeo!

CCM wameshinda mitaa 58
Wapinzani mitaa 53!

ikumbukwe kwamba Mitaa 100 CCM walipita bila kupingwa!

Kama mlitumia kigezo cha umaskini kutaka kuwadanya watakuwa wamewashitukia maana nchi hii umaskini huko mikoa mingi kwanza sasa hivi Mtwara kuna maendeleo sana!

Poleni sana

Uongo mkuu, nakuhakikishia, niko mtwara naataarifa za kuaminika kutoka kwa uongozi wa CCM ni kwamba CCM ni 53 na ukawa ni 58 huamini waulize viongozi wako wa CCM mtwara hutakia unaacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom