Mtwara na Lindi wahoji siri ya Lowassa kupitia upya Mikataba ya Gesi

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
KAMPENI za mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alizofanya hivi karibuni katika mikoa ya Mtwara la Lindi , zimewaachia wananchi wa mikoa hiyo maswali mengi ambayo atalazimika kuyajibu na kuyatolea ufafanuzi wa kina pindi atakaporejea tena katika mikoa hiyo kwa ajili ya kampeni.
Lowassa amesema:

Endapo atachaguliwa na kuwa rais wa jamhuri ha Muungano wa Tanzania, atapitia mikataba yote ya gesi asilia ambayo kwa sasa inazalishwa katika Mkoa wa Mtwara.

Swali la wa wana Mtwara na Lindi kwa Lowassa: sheria itakatosimamia mikataba yote ya gesi hiyo ilipitishwa na Bunge lililomaliza muda wake mwanzoni mwa mwezi julai, mwaka huum huku Lowassa mwenyewe akiwa miongoni mwa wabunge waliopitisha sheria hiyo kwanini hakususa kama Ukawa walivyofanya kupinga kupitishwa kwa sheria hiyo kama kweli ana mashaka na mikataba hiyo?
Wasiwasi wa wana Mtwara na Lindi: LOWASSA ANAHISI KWAMBA SHERIA HIYO INAMBANA YEYE NA MAFISADI WAKE WANAOMCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI KWA AHADI YA KUJA KUPEWA VITALU VYA GESI, KWA HIYO ANAONA IPO HAJA YA KUIPITIA UPYA ILI IWEZE KUTOA UNAFUU KWA KUMWEZESHA KUTIMIZA AHADI ZAKE ZA KUGAWA VITALU VYA GESI KWA WATU WAKE WAO?

Mkazi mmoja wa mji wa NDANDA, GODFREY NYAMBI, anasema kwa historia ya Lowassa kuhusu mikataba ya uwekezaji nchini, hana anachoweza kuwaeleza wananchi wakamuelewa. "HISTORIA YA UTENDAJI WA LOWASSA KATIKA ENEO HILI LA MIKATABA , INAFAHAMIKA KWA KILA MWANANCHI , KILA MKATABA ALIOSIMAMIA LOWASSA AKIWA SERIKALINI UNA HARUFU YA UFISADI NA KUNYONYA UCHUMI WA NCHI HII" anasema Nyambi na kuhoji. Ni mwananchi gani amesahau mkataba wa RICHMOND, ni mwananchi gani amesahau DILI LAKE LILILOSHINDWA LA KULETA MVUA KUTOKA THAILAND? n.k

UKWELI KUHUSU GESI YA MTWARA: Shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC) zinasema, sheria hiyo ya mikataba wa gesi ambayo Lowassa anasema ataipitia upya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania , Inaitaka Serikali , pamoja na mambo mengine , kuwa mmiliki mkuu wa vitalu vyote vya gesi kwa kati ya asilimia 65 hadi 75, huku wawekezaji wote binafsi , awe wa ndani au nje , akitakiwa kumiliki hisa za kati ya asilimia 25 na 35. Kwa mujibu wa Sheria hiyo, msimamizi mkuu wa rasilimali hiyo ya gesi asilia kwa niaba ya serikali , watakuwa TPDC wenyewe. Taarifa hizo zinafafanua kwamba Shirika hilo, pamoja na mambo mengine, linatakiwa na sheria hiyo kuunda mfuko Maalum wa Gesi, ambao utahusika kuhifadhi fedha zote zitakazotokana na gesi kwa ajili ya manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

KADI MPYA ZA CCM: Baadhi ya wa wananchi wa jimbo la MTAMA, Mkoa wa Lindi lililokuwa likiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, BENARD KAMELIUS MEMBE na linalogombewa na Katibu wa NEC , Itikadi na uenezi, NAPE MOSES NNAUYE wamedai kuwa siku ambayo LOWASSA na timu yake ya Kampeni walifika jimboni humo kwa lengo la kufanya Kampeni zao, WALIKUWA NA LUNDO LA KADI MPYA ZA CCM. Wananchi hao wamedai kuwa timu hiyo ya kampeni za Lowassa walidawa mpya za CCM ambazo hadi sasa haijajulikana walizipata wapi na kuzigawa kwa baadhi ya wanancni wa jimbo hilo wakiwa na maelekezo maelekezo ya kuzirejesha kadi hizo wakati wa mkutano wake wa Kampeni uliofanyika jimboni humo ili ionekane kuwa hao wanaorudisha kadi ni wana CCM walioamua kuachana na chama hicho na kujiunga na CHADEMA.

Itakumbukwa kuwa kwa muda mrefu Membe na Nape wamekuwa na uhasama wa kisiasa na Lowassa , hasa baada ya mwanasiasa huyo kuiingiza CCM na Serikali yake katika kashfa nzito ya UFIASADI unaohusiana na KAMPUNI YA RICHMOND akiwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2006 na 2007, lowassa andaiwa kuibeba na kuipatia upendeleo kampuni ya hiyo ya Richmond katika zabuni ya kufua umeme wa dharura.
Uhasama wa Lowassa na NAPE pia unatokana na mwanasisa huyo kijana(NAPE) kuibua ufisadi mkubwa uliokuwa ukifanywa na LOWASSA katika ujenzi wa Jengo la Umoja wa vijana wa CCM(UVCCM) lililopo makutano ya barabara ya morogoro na ile ya Lumumba.
Baadhi ya wananchi wa Mtama wamekwenda mbali na kumtuhumu Lowassa kwamba huenda kadi hizo zilitengenezwa mahsusi kwa gharama yake na kusambazwa katika jimbo lao ili kuendeleza mchezo wake mchafu wa kisiasa dhidi ya CCM.
SOURCE: MKAKATI

20151002_085046.jpg
 
Danganya toto, hyo mikataba INA mapungufu makubwa sana ndo maana wabunge wa upinzani walisusia kushiriki uozo Wa mikataba hyo ccm mkaipitisha kibabe,low as a syo ccm tena na atafanya makubwa ndan ya ukawa,
 
KAMPENI za mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alizofanya hivi karibuni katika mikoa ya Mtwara la Lindi , zimewaachia wananchi wa mikoa hiyo maswali mengi ambayo atalazimika kuyajibu na kuyatolea ufafanuzi wa kina pindi atakaporejea tena katika mikoa hiyo kwa ajili ya kampeni.
Lowassa amesema:

Endapo atachaguliwa na kuwa rais wa jamhuri ha Muungano wa Tanzania, atapitia mikataba yote ya gesi asilia ambayo kwa sasa inazalishwa katika Mkoa wa Mtwara.

Swali la wa wana Mtwara na Lindi kwa Lowassa: sheria itakatosimamia mikataba yote ya gesi hiyo ilipitishwa na Bunge lililomaliza muda wake mwanzoni mwa mwezi julai, mwaka huum huku Lowassa mwenyewe akiwa miongoni mwa wabunge waliopitisha sheria hiyo kwanini hakususa kama Ukawa walivyofanya kupinga kupitishwa kwa sheria hiyo kama kweli ana mashaka na mikataba hiyo?
Wasiwasi wa wana Mtwara na Lindi: LOWASSA ANAHISI KWAMBA SHERIA HIYO INAMBANA YEYE NA MAFISADI WAKE WANAOMCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI KWA AHADI YA KUJA KUPEWA VITALU VYA GESI, KWA HIYO ANAONA IPO HAJA YA KUIPITIA UPYA ILI IWEZE KUTOA UNAFUU KWA KUMWEZESHA KUTIMIZA AHADI ZAKE ZA KUGAWA VITALU VYA GESI KWA WATU WAKE WAO?

Mkazi mmoja wa mji wa NDANDA, GODFREY NYAMBI, anasema kwa historia ya Lowassa kuhusu mikataba ya uwekezaji nchini, hana anachoweza kuwaeleza wananchi wakamuelewa. "HISTORIA YA UTENDAJI WA LOWASSA KATIKA ENEO HILI LA MIKATABA , INAFAHAMIKA KWA KILA MWANANCHI , KILA MKATABA ALIOSIMAMIA LOWASSA AKIWA SERIKALINI UNA HARUFU YA UFISADI NA KUNYONYA UCHUMI WA NCHI HII" anasema Nyambi na kuhoji. Ni mwananchi gani amesahau mkataba wa RICHMOND, ni mwananchi gani amesahau DILI LAKE LILILOSHINDWA LA KULETA MVUA KUTOKA THAILAND? n.k

UKWELI KUHUSU GESI YA MTWARA: Shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC) zinasema, sheria hiyo ya mikataba wa gesi ambayo Lowassa anasema ataipitia upya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania , Inaitaka Serikali , pamoja na mambo mengine , kuwa mmiliki mkuu wa vitalu vyote vya gesi kwa kati ya asilimia 65 hadi 75, huku wawekezaji wote binafsi , awe wa ndani au nje , akitakiwa kumiliki hisa za kati ya asilimia 25 na 35. Kwa mujibu wa Sheria hiyo, msimamizi mkuu wa rasilimali hiyo ya gesi asilia kwa niaba ya serikali , watakuwa TPDC wenyewe. Taarifa hizo zinafafanua kwamba Shirika hilo, pamoja na mambo mengine, linatakiwa na sheria hiyo kuunda mfuko Maalum wa Gesi, ambao utahusika kuhifadhi fedha zote zitakazotokana na gesi kwa ajili ya manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

KADI MPYA ZA CCM: Baadhi ya wa wananchi wa jimbo la MTAMA, Mkoa wa Lindi lililokuwa likiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, BENARD KAMELIUS MEMBE na linalogombewa na Katibu wa NEC , Itikadi na uenezi, NAPE MOSES NNAUYE wamedai kuwa siku ambayo LOWASSA na timu yake ya Kampeni walifika jimboni humo kwa lengo la kufanya Kampeni zao, WALIKUWA NA LUNDO LA KADI MPYA ZA CCM. Wananchi hao wamedai kuwa timu hiyo ya kampeni za Lowassa walidawa mpya za CCM ambazo hadi sasa haijajulikana walizipata wapi na kuzigawa kwa baadhi ya wanancni wa jimbo hilo wakiwa na maelekezo maelekezo ya kuzirejesha kadi hizo wakati wa mkutano wake wa Kampeni uliofanyika jimboni humo ili ionekane kuwa hao wanaorudisha kadi ni wana CCM walioamua kuachana na chama hicho na kujiunga na CHADEMA.

Itakumbukwa kuwa kwa muda mrefu Membe na Nape wamekuwa na uhasama wa kisiasa na Lowassa , hasa baada ya mwanasiasa huyo kuiingiza CCM na Serikali yake katika kashfa nzito ya UFIASADI unaohusiana na KAMPUNI YA RICHMOND akiwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2006 na 2007, lowassa andaiwa kuibeba na kuipatia upendeleo kampuni ya hiyo ya Richmond katika zabuni ya kufua umeme wa dharura.
Uhasama wa Lowassa na NAPE pia unatokana na mwanasisa huyo kijana(NAPE) kuibua ufisadi mkubwa uliokuwa ukifanywa na LOWASSA katika ujenzi wa Jengo la Umoja wa vijana wa CCM(UVCCM) lililopo makutano ya barabara ya morogoro na ile ya Lumumba.
Baadhi ya wananchi wa Mtama wamekwenda mbali na kumtuhumu Lowassa kwamba huenda kadi hizo zilitengenezwa mahsusi kwa gharama yake na kusambazwa katika jimbo lao ili kuendeleza mchezo wake mchafu wa kisiasa dhidi ya CCM.
SOURCE: MKAKATI

View attachment 293636

Hilo nalo gazeti
 
Wanahoji hayo kwa kukosa ukweli coz ccm wameficha ukweli mikataba hyo ya gas haina manufaA kwa watanzania Wa kawaida zaid ya makampun makubwa ya kimarekan na kichina pamoja na waliopisha mikataba hyo na familia,tusubiri siku tanesco na mbuga za wanyama znapobinafsishwa kwa wamarekan
 
KAMPENI za mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alizofanya hivi karibuni katika mikoa ya Mtwara la Lindi , zimewaachia wananchi wa mikoa hiyo maswali mengi ambayo atalazimika kuyajibu na kuyatolea ufafanuzi wa kina pindi atakaporejea tena katika mikoa hiyo kwa ajili ya kampeni.
Lowassa amesema:

Endapo atachaguliwa na kuwa rais wa jamhuri ha Muungano wa Tanzania, atapitia mikataba yote ya gesi asilia ambayo kwa sasa inazalishwa katika Mkoa wa Mtwara.

Swali la wa wana Mtwara na Lindi kwa Lowassa: sheria itakatosimamia mikataba yote ya gesi hiyo ilipitishwa na Bunge lililomaliza muda wake mwanzoni mwa mwezi julai, mwaka huum huku Lowassa mwenyewe akiwa miongoni mwa wabunge waliopitisha sheria hiyo kwanini hakususa kama Ukawa walivyofanya kupinga kupitishwa kwa sheria hiyo kama kweli ana mashaka na mikataba hiyo?
Wasiwasi wa wana Mtwara na Lindi: LOWASSA ANAHISI KWAMBA SHERIA HIYO INAMBANA YEYE NA MAFISADI WAKE WANAOMCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI KWA AHADI YA KUJA KUPEWA VITALU VYA GESI, KWA HIYO ANAONA IPO HAJA YA KUIPITIA UPYA ILI IWEZE KUTOA UNAFUU KWA KUMWEZESHA KUTIMIZA AHADI ZAKE ZA KUGAWA VITALU VYA GESI KWA WATU WAKE WAO?

Mkazi mmoja wa mji wa NDANDA, GODFREY NYAMBI, anasema kwa historia ya Lowassa kuhusu mikataba ya uwekezaji nchini, hana anachoweza kuwaeleza wananchi wakamuelewa. "HISTORIA YA UTENDAJI WA LOWASSA KATIKA ENEO HILI LA MIKATABA , INAFAHAMIKA KWA KILA MWANANCHI , KILA MKATABA ALIOSIMAMIA LOWASSA AKIWA SERIKALINI UNA HARUFU YA UFISADI NA KUNYONYA UCHUMI WA NCHI HII" anasema Nyambi na kuhoji. Ni mwananchi gani amesahau mkataba wa RICHMOND, ni mwananchi gani amesahau DILI LAKE LILILOSHINDWA LA KULETA MVUA KUTOKA THAILAND? n.k

UKWELI KUHUSU GESI YA MTWARA: Shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC) zinasema, sheria hiyo ya mikataba wa gesi ambayo Lowassa anasema ataipitia upya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania , Inaitaka Serikali , pamoja na mambo mengine , kuwa mmiliki mkuu wa vitalu vyote vya gesi kwa kati ya asilimia 65 hadi 75, huku wawekezaji wote binafsi , awe wa ndani au nje , akitakiwa kumiliki hisa za kati ya asilimia 25 na 35. Kwa mujibu wa Sheria hiyo, msimamizi mkuu wa rasilimali hiyo ya gesi asilia kwa niaba ya serikali , watakuwa TPDC wenyewe. Taarifa hizo zinafafanua kwamba Shirika hilo, pamoja na mambo mengine, linatakiwa na sheria hiyo kuunda mfuko Maalum wa Gesi, ambao utahusika kuhifadhi fedha zote zitakazotokana na gesi kwa ajili ya manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

KADI MPYA ZA CCM: Baadhi ya wa wananchi wa jimbo la MTAMA, Mkoa wa Lindi lililokuwa likiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, BENARD KAMELIUS MEMBE na linalogombewa na Katibu wa NEC , Itikadi na uenezi, NAPE MOSES NNAUYE wamedai kuwa siku ambayo LOWASSA na timu yake ya Kampeni walifika jimboni humo kwa lengo la kufanya Kampeni zao, WALIKUWA NA LUNDO LA KADI MPYA ZA CCM. Wananchi hao wamedai kuwa timu hiyo ya kampeni za Lowassa walidawa mpya za CCM ambazo hadi sasa haijajulikana walizipata wapi na kuzigawa kwa baadhi ya wanancni wa jimbo hilo wakiwa na maelekezo maelekezo ya kuzirejesha kadi hizo wakati wa mkutano wake wa Kampeni uliofanyika jimboni humo ili ionekane kuwa hao wanaorudisha kadi ni wana CCM walioamua kuachana na chama hicho na kujiunga na CHADEMA.

Itakumbukwa kuwa kwa muda mrefu Membe na Nape wamekuwa na uhasama wa kisiasa na Lowassa , hasa baada ya mwanasiasa huyo kuiingiza CCM na Serikali yake katika kashfa nzito ya UFIASADI unaohusiana na KAMPUNI YA RICHMOND akiwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2006 na 2007, lowassa andaiwa kuibeba na kuipatia upendeleo kampuni ya hiyo ya Richmond katika zabuni ya kufua umeme wa dharura.
Uhasama wa Lowassa na NAPE pia unatokana na mwanasisa huyo kijana(NAPE) kuibua ufisadi mkubwa uliokuwa ukifanywa na LOWASSA katika ujenzi wa Jengo la Umoja wa vijana wa CCM(UVCCM) lililopo makutano ya barabara ya morogoro na ile ya Lumumba.
Baadhi ya wananchi wa Mtama wamekwenda mbali na kumtuhumu Lowassa kwamba huenda kadi hizo zilitengenezwa mahsusi kwa gharama yake na kusambazwa katika jimbo lao ili kuendeleza mchezo wake mchafu wa kisiasa dhidi ya CCM.
SOURCE: MKAKATI

View attachment 293636

CCM wewe tumeshakujua. Jijibu mwenyewe
 
Ni wajinga tu watakaomuelewa LOWASSA akiongelea Mikataba. Jizi kama lile linataka kumdanganya nani.
 
Wanahoji hayo kwa kukosa ukweli coz ccm wameficha ukweli mikataba hyo ya gas haina manufaA kwa watanzania Wa kawaida zaid ya makampun makubwa ya kimarekan na kichina pamoja na waliopisha mikataba hyo na familia,tusubiri siku tanesco na mbuga za wanyama znapobinafsishwa kwa wamarekan
Soma vizuri mada mkuu, wajanja wanahoji , kuna nini nyuma? Lowassa anataka kuwatengenezea njia mafisadi?
 
Hivi mnamuonaje lowassa....eti alikuja na lundo la kadi mpya za ccm. Ili iweje na kwanini mtama tu??
 
KAMPENI za mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alizofanya hivi karibuni katika mikoa ya Mtwara la Lindi , zimewaachia wananchi wa mikoa hiyo maswali mengi ambayo atalazimika kuyajibu na kuyatolea ufafanuzi wa kina pindi atakaporejea tena katika mikoa hiyo kwa ajili ya kampeni.
Lowassa amesema:

Endapo atachaguliwa na kuwa rais wa jamhuri ha Muungano wa Tanzania, atapitia mikataba yote ya gesi asilia ambayo kwa sasa inazalishwa katika Mkoa wa Mtwara.

Swali la wa wana Mtwara na Lindi kwa Lowassa: sheria itakatosimamia mikataba yote ya gesi hiyo ilipitishwa na Bunge lililomaliza muda wake mwanzoni mwa mwezi julai, mwaka huum huku Lowassa mwenyewe akiwa miongoni mwa wabunge waliopitisha sheria hiyo kwanini hakususa kama Ukawa walivyofanya kupinga kupitishwa kwa sheria hiyo kama kweli ana mashaka na mikataba hiyo?
Wasiwasi wa wana Mtwara na Lindi: LOWASSA ANAHISI KWAMBA SHERIA HIYO INAMBANA YEYE NA MAFISADI WAKE WANAOMCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI KWA AHADI YA KUJA KUPEWA VITALU VYA GESI, KWA HIYO ANAONA IPO HAJA YA KUIPITIA UPYA ILI IWEZE KUTOA UNAFUU KWA KUMWEZESHA KUTIMIZA AHADI ZAKE ZA KUGAWA VITALU VYA GESI KWA WATU WAKE WAO?

Mkazi mmoja wa mji wa NDANDA, GODFREY NYAMBI, anasema kwa historia ya Lowassa kuhusu mikataba ya uwekezaji nchini, hana anachoweza kuwaeleza wananchi wakamuelewa. "HISTORIA YA UTENDAJI WA LOWASSA KATIKA ENEO HILI LA MIKATABA , INAFAHAMIKA KWA KILA MWANANCHI , KILA MKATABA ALIOSIMAMIA LOWASSA AKIWA SERIKALINI UNA HARUFU YA UFISADI NA KUNYONYA UCHUMI WA NCHI HII" anasema Nyambi na kuhoji. Ni mwananchi gani amesahau mkataba wa RICHMOND, ni mwananchi gani amesahau DILI LAKE LILILOSHINDWA LA KULETA MVUA KUTOKA THAILAND? n.k

UKWELI KUHUSU GESI YA MTWARA: Shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC) zinasema, sheria hiyo ya mikataba wa gesi ambayo Lowassa anasema ataipitia upya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania , Inaitaka Serikali , pamoja na mambo mengine , kuwa mmiliki mkuu wa vitalu vyote vya gesi kwa kati ya asilimia 65 hadi 75, huku wawekezaji wote binafsi , awe wa ndani au nje , akitakiwa kumiliki hisa za kati ya asilimia 25 na 35. Kwa mujibu wa Sheria hiyo, msimamizi mkuu wa rasilimali hiyo ya gesi asilia kwa niaba ya serikali , watakuwa TPDC wenyewe. Taarifa hizo zinafafanua kwamba Shirika hilo, pamoja na mambo mengine, linatakiwa na sheria hiyo kuunda mfuko Maalum wa Gesi, ambao utahusika kuhifadhi fedha zote zitakazotokana na gesi kwa ajili ya manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

KADI MPYA ZA CCM: Baadhi ya wa wananchi wa jimbo la MTAMA, Mkoa wa Lindi lililokuwa likiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, BENARD KAMELIUS MEMBE na linalogombewa na Katibu wa NEC , Itikadi na uenezi, NAPE MOSES NNAUYE wamedai kuwa siku ambayo LOWASSA na timu yake ya Kampeni walifika jimboni humo kwa lengo la kufanya Kampeni zao, WALIKUWA NA LUNDO LA KADI MPYA ZA CCM. Wananchi hao wamedai kuwa timu hiyo ya kampeni za Lowassa walidawa mpya za CCM ambazo hadi sasa haijajulikana walizipata wapi na kuzigawa kwa baadhi ya wanancni wa jimbo hilo wakiwa na maelekezo maelekezo ya kuzirejesha kadi hizo wakati wa mkutano wake wa Kampeni uliofanyika jimboni humo ili ionekane kuwa hao wanaorudisha kadi ni wana CCM walioamua kuachana na chama hicho na kujiunga na CHADEMA.

Itakumbukwa kuwa kwa muda mrefu Membe na Nape wamekuwa na uhasama wa kisiasa na Lowassa , hasa baada ya mwanasiasa huyo kuiingiza CCM na Serikali yake katika kashfa nzito ya UFIASADI unaohusiana na KAMPUNI YA RICHMOND akiwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2006 na 2007, lowassa andaiwa kuibeba na kuipatia upendeleo kampuni ya hiyo ya Richmond katika zabuni ya kufua umeme wa dharura.
Uhasama wa Lowassa na NAPE pia unatokana na mwanasisa huyo kijana(NAPE) kuibua ufisadi mkubwa uliokuwa ukifanywa na LOWASSA katika ujenzi wa Jengo la Umoja wa vijana wa CCM(UVCCM) lililopo makutano ya barabara ya morogoro na ile ya Lumumba.
Baadhi ya wananchi wa Mtama wamekwenda mbali na kumtuhumu Lowassa kwamba huenda kadi hizo zilitengenezwa mahsusi kwa gharama yake na kusambazwa katika jimbo lao ili kuendeleza mchezo wake mchafu wa kisiasa dhidi ya CCM.
SOURCE: MKAKATI

View attachment 293636

Nitawashangaa sana watakaomsikikiza LOWASSA kuhusiana na mkataba wowote ule, sumu haitambuliwi kwa kuonjwa.
 
Hivi mnamuonaje lowassa....eti alikuja na lundo la kadi mpya za ccm. Ili iweje na kwanini mtama tu??
Kwa sababu ndo kuna mahasimu wake wakuu, Membe na Nape , anajaribu kutumia pesa kuwaangamiza lakini hataweza, wameshamstukia.
 
Ningekuwa LOWASSA ningepotezea kabisaaa habari za kuongelea mikataba, ufisadi, anajidhalilisha. Mtu kila mkataba mbovu na ufisadi YUMO.
 
Hatimae siri ya kupitishwa Muswada Wa GESI kwa dharura Na HARAKA yabainika.Muswada huo una maslahi ya Viongozi Wetu Na Kundi la Wafanyabiashara Wa nje ya Nchi.Ili kuhakikisha mkataba huo unafanikiwa ilikuwa in lazima Muswada Wa Gesi Upitishwe kwa gharama yeyote Na Wabunge Wa CCM wakahaidiwa kuboreshewa Kiinua Mgongo Na kulipwa sh.milioni 200,000,000/= ili ziwasaidie kwenye kampeni.
 
Songo Songo Gas Development and Power-Generation Project - Offshore Technology

The main sponsor of the $320m project was AES Sirocco of the US; the other sponsor was PanAfrican Energy, formerly Ocelot International. Investment in the project came from AES, PanAfrican Energy, Tanzania Electric Supply Company Ltd (Tanesco), Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), UK investor CDC Group plc, Tanzania Development Finance Co Ltd (TDFL), the European Investment Bank and the World Bank, these last two through the Tanzanian Government.

Hili deni tumeshamaliza? Kuna haja ya kufumua mikataba yote!
 
KAMPENI za mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alizofanya hivi karibuni katika mikoa ya Mtwara la Lindi , zimewaachia wananchi wa mikoa hiyo maswali mengi ambayo atalazimika kuyajibu na kuyatolea ufafanuzi wa kina pindi atakaporejea tena katika mikoa hiyo kwa ajili ya kampeni.
Lowassa amesema:

Endapo atachaguliwa na kuwa rais wa jamhuri ha Muungano wa Tanzania, atapitia mikataba yote ya gesi asilia ambayo kwa sasa inazalishwa katika Mkoa wa Mtwara.

Swali la wa wana Mtwara na Lindi kwa Lowassa: sheria itakatosimamia mikataba yote ya gesi hiyo ilipitishwa na Bunge lililomaliza muda wake mwanzoni mwa mwezi julai, mwaka huum huku Lowassa mwenyewe akiwa miongoni mwa wabunge waliopitisha sheria hiyo kwanini hakususa kama Ukawa walivyofanya kupinga kupitishwa kwa sheria hiyo kama kweli ana mashaka na mikataba hiyo?
Wasiwasi wa wana Mtwara na Lindi: LOWASSA ANAHISI KWAMBA SHERIA HIYO INAMBANA YEYE NA MAFISADI WAKE WANAOMCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI KWA AHADI YA KUJA KUPEWA VITALU VYA GESI, KWA HIYO ANAONA IPO HAJA YA KUIPITIA UPYA ILI IWEZE KUTOA UNAFUU KWA KUMWEZESHA KUTIMIZA AHADI ZAKE ZA KUGAWA VITALU VYA GESI KWA WATU WAKE WAO?

Mkazi mmoja wa mji wa NDANDA, GODFREY NYAMBI, anasema kwa historia ya Lowassa kuhusu mikataba ya uwekezaji nchini, hana anachoweza kuwaeleza wananchi wakamuelewa. "HISTORIA YA UTENDAJI WA LOWASSA KATIKA ENEO HILI LA MIKATABA , INAFAHAMIKA KWA KILA MWANANCHI , KILA MKATABA ALIOSIMAMIA LOWASSA AKIWA SERIKALINI UNA HARUFU YA UFISADI NA KUNYONYA UCHUMI WA NCHI HII" anasema Nyambi na kuhoji. Ni mwananchi gani amesahau mkataba wa RICHMOND, ni mwananchi gani amesahau DILI LAKE LILILOSHINDWA LA KULETA MVUA KUTOKA THAILAND? n.k

UKWELI KUHUSU GESI YA MTWARA: Shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC) zinasema, sheria hiyo ya mikataba wa gesi ambayo Lowassa anasema ataipitia upya endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania , Inaitaka Serikali , pamoja na mambo mengine , kuwa mmiliki mkuu wa vitalu vyote vya gesi kwa kati ya asilimia 65 hadi 75, huku wawekezaji wote binafsi , awe wa ndani au nje , akitakiwa kumiliki hisa za kati ya asilimia 25 na 35. Kwa mujibu wa Sheria hiyo, msimamizi mkuu wa rasilimali hiyo ya gesi asilia kwa niaba ya serikali , watakuwa TPDC wenyewe. Taarifa hizo zinafafanua kwamba Shirika hilo, pamoja na mambo mengine, linatakiwa na sheria hiyo kuunda mfuko Maalum wa Gesi, ambao utahusika kuhifadhi fedha zote zitakazotokana na gesi kwa ajili ya manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

KADI MPYA ZA CCM: Baadhi ya wa wananchi wa jimbo la MTAMA, Mkoa wa Lindi lililokuwa likiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za nje, BENARD KAMELIUS MEMBE na linalogombewa na Katibu wa NEC , Itikadi na uenezi, NAPE MOSES NNAUYE wamedai kuwa siku ambayo LOWASSA na timu yake ya Kampeni walifika jimboni humo kwa lengo la kufanya Kampeni zao, WALIKUWA NA LUNDO LA KADI MPYA ZA CCM. Wananchi hao wamedai kuwa timu hiyo ya kampeni za Lowassa walidawa mpya za CCM ambazo hadi sasa haijajulikana walizipata wapi na kuzigawa kwa baadhi ya wanancni wa jimbo hilo wakiwa na maelekezo maelekezo ya kuzirejesha kadi hizo wakati wa mkutano wake wa Kampeni uliofanyika jimboni humo ili ionekane kuwa hao wanaorudisha kadi ni wana CCM walioamua kuachana na chama hicho na kujiunga na CHADEMA.

Itakumbukwa kuwa kwa muda mrefu Membe na Nape wamekuwa na uhasama wa kisiasa na Lowassa , hasa baada ya mwanasiasa huyo kuiingiza CCM na Serikali yake katika kashfa nzito ya UFIASADI unaohusiana na KAMPUNI YA RICHMOND akiwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2006 na 2007, lowassa andaiwa kuibeba na kuipatia upendeleo kampuni ya hiyo ya Richmond katika zabuni ya kufua umeme wa dharura.
Uhasama wa Lowassa na NAPE pia unatokana na mwanasisa huyo kijana(NAPE) kuibua ufisadi mkubwa uliokuwa ukifanywa na LOWASSA katika ujenzi wa Jengo la Umoja wa vijana wa CCM(UVCCM) lililopo makutano ya barabara ya morogoro na ile ya Lumumba.
Baadhi ya wananchi wa Mtama wamekwenda mbali na kumtuhumu Lowassa kwamba huenda kadi hizo zilitengenezwa mahsusi kwa gharama yake na kusambazwa katika jimbo lao ili kuendeleza mchezo wake mchafu wa kisiasa dhidi ya CCM.
SOURCE: MKAKATI

View attachment 293636
Wana Mtwara na Lindi wapi hao wasiotaka mikataba ya gesi ipitiwe upya?
Wanajua kwenye hiyo mikataba kuna nini?
Lazima hiyo mikataba iwekwe wazi ni mali ya waTZ wote sio ya kifamili hiyo.
Na kama haitusaidii ivunjwe tu.
After all wewe sio msemaji wa wana Mtwara Na Lindi unaowasema.
Unajaribu tu kutetea tumbo lako.
 
Soma vizuri mada mkuu, wajanja wanahoji , kuna nini nyuma? Lowassa anataka kuwatengenezea njia mafisadi?
Mbona mnatumia nguvu nyingi sana? Ninyi subirini muone mtakavyowekwa wazi na madudu yenu yote na hii inatupa hamasa ya kumpa Lowasa ili aiweke wazi hiyo mikataba. Kwani wenye nchi ni watanzania au serikali?&!! kwa nini sisi wenye mali tunazuiwa kujua mikataba hiyo kunani?!
 
Back
Top Bottom