Lindi na Mtwara wameshalipiza kisasi

Lindi na Mtwara wameshalipiza kisasi

Uongo mkuu, nakuhakikishia, niko mtwara naataarifa za kuaminika kutoka kwa uongozi wa CCM ni kwamba CCM ni 53 na ukawa ni 58 huamini waulize viongozi wako wa CCM mtwara hutakia unaacha.

Mimi binafsi ngoja nisubiri matokeo rasmi, siamini watu humu! Jana usiku kwa mfano arusha, watu walikuwa ni "eh chadema kachukua huku, Nasari anatisha kabeba arusha yote" leo nasikia matangazo, ccm imeshinda Arusha!! Ngoja ningoje tu matokeo rasmi, naona huku kuna ushabiki tu wa mahaba!
 
Tupa Tupa ndio mwanaccm pekee anayeletaga JF habari za kweli za Ccm hata kama ni chungu kiasi gani. Credibility yake ni kubwa sana hapa jamvini.
Hajawahi na hatawahi kuwa mwanaCCM kwa sababu tunafahamu vizuri sana ID iliyoko nyuma ya VUTA-NKUVUTE.

Huyu ni kijana wa BAVICHA ambaye anatokea mkoa wa Pwani na ana shahada ya sheria kutoka UDSM.

Unaweza ukaendelea kuamini unavyoamini lakini mwenye macho haambiwi tazama!
 
Kuna posti humu ilikuwepo tokea mchana eti Lindi na Mtwra wameikataa ccm.itabidi sasa nisubiri matokeo rasmi humu watu wana ashki matokeo

Ukwel ni kuw Wanamtwara wamechachamaa sn CCM wameangukia pua huku waliotamba huku ni CUF, CHADEMA na NCCR.... CCM wamepagawa na hawaamin matokeo. Hii ni taarfa ya ukwel bila chenga
 
Kwani nchi hii mbona umaskini huko mikoa mingi tuu? shinyanga ,Singida!....
Mtwara Matokeo!

CCM wameshinda mitaa 58
Wapinzani mitaa 53!

ikumbukwe kwamba Mitaa 100 CCM walipita bila kupingwa!

Kama mlitumia kigezo cha umaskini kutaka kuwadanya watakuwa wamewashitukia maana nchi hii umaskini huko mikoa mingi kwanza sasa hivi Mtwara kuna maendeleo sana!

Poleni sana

mtwara ipi labda hii niliyokuepo mie jana?!
sehemu ambayo wamepita ccm bila kupingwa ni NIENDELE TU VIJIJI VIWILI NA VITANO WAMESHINDA TENA HUKO KUNA VIZEE VITUPU
NA UKITAKA KUJUA NGUVU YA VIJANA NJOO MJINI MTWARA NENDA KAULIZE MZEE@LIBUBURU ALIYEKUA ANAFANYA UENYEKITI WA MTAA MALI YAKE NA MKEWE JANA KAHESABISHA WATU KURA MARA TATU TATU...
VIJANA WAKASEMA MUACHENI AHESABU NA MKEWE HUYOO
NA VIJANA MTWARA JANA WALIKUA WANAHAMSISHANA AMANI ILI PASITOKEE VURUGU WAKAIBIWA KURA ZAO
NANUKUU"KUPIGA MTUPIGE,GESI MCHUKUE,KURA NAZO TUWAPEEE?!!!"WALLLAAAAAA
 
kuna posti humu ilikuwepo tokea mchana eti lindi na mtwra wameikataa ccm.itabidi sasa nisubiri matokeo rasmi humu watu wana ashki matokeo

mimi nilikua mtwara nimeondoka leo
ngoja nikuulize kitu,sehemu ambayo wenyeviti wa mtaa ccm walika zaidi ya mia leo wanabaki 53 huo ni ushindi?
 
mtwara mini matokeo!

Mitaa 100 ccm wapita bila kupingwa!
Ccm wameshinda mitaa 58
wapinzani mitaa 58!

Tupa tupa acha kuwadanganya wenzio!

mtwara manispaa ni vijiji viwili tu wamepita bila kupingwa,
naliendele ndo imepita ccm tu
ila mikindani wamejibu mapigo mitaa yote cuf
 
Hajawahi na hatawahi kuwa mwanaCCM kwa sababu tunafahamu vizuri sana ID iliyoko nyuma ya VUTA-NKUVUTE.

Huyu ni kijana wa BAVICHA ambaye anatokea mkoa wa Pwani na ana shahada ya sheria kutoka UDSM.

Unaweza ukaendelea kuamini unavyoamini lakini mwenye macho haambiwi tazama!

Hamumtaki kwa sababu anajielewa
mtwara kucheleeeeee
na wanasema hv wanamtwara mwakani wanawangoja kwa hamuuu
 
Acha bangi wewe 53 ni ukawa na CCM 58

Hebu uone haya wewe mtu kuongea uongo! Mtwara mjini ccm 53 na UKAWA ni 58. Na kwataarifa yako tamko rasmi toka ccm limeshatolewa wakidai kushtushwa na matokeo mabaya toka kwa iliyokuwa ngome yao.

Wilaya ya TANDAHIMBA nyie majizi wa ccm mmepata viti vi 3 tu out of 28. Mlivyokuwa mnawapiga na gesi yao mlifikiria nini ?
 
Mimi binafsi ngoja nisubiri matokeo rasmi, siamini watu humu! Jana usiku kwa mfano arusha, watu walikuwa ni "eh chadema kachukua huku, Nasari anatisha kabeba arusha yote" leo nasikia matangazo, ccm imeshinda Arusha!! Ngoja ningoje tu matokeo rasmi, naona huku kuna ushabiki tu wa mahaba!

Jamiiforums kama facebook tu siku hizi ni Kigenge cha jobless kabisa , watu wanaandika mipasho kama watoto wa kike. Utaongeaje bila data subir matokeo yatoke tuone hitimisho lako. Na matokeo yakikamilika wanaoongea kitu cha maana ni kina Pasco tu humu ndio ambao unaweza angalau kusoma mabandiko yao hapa, ila waliobaki vilaza wanaandika ujinga tu hapa, hayo mahaba yao sijui hata wanayapeleka wapi aisee!
 
Kuna posti humu ilikuwepo tokea mchana eti Lindi na Mtwra wameikataa ccm.itabidi sasa nisubiri matokeo rasmi humu watu wana ashki matokeo

Hahahaha wana "ashki" matokeo eti duuh! But ww kama mm Jamiiforums now kama facebook tu watu wanajiandikia tu. Kuna watu wanatoka kuvuta bangi wanapost tu wengine wanatoka kunywa gongo na viroba + pombekali wanakufuru tu hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom